Bifu la Shigongo, Ruge na Babu Tale

Nifah, why are you so much interested in what Zamaradi was asked about? She's just a part of the story...
Mkuu...ktk kila story kila mmoja anakuwa na kipande 'kilichomkuna',mimi hapo kwa Zamaradi ndio penyewe...
Natamani kujua hapo tu,pengine kote wala hapajanivutia.
 
Umeona mbali,,ruge sio mtu mzur sana kiukwel kabsa,ila ni mtu anaejua kupanga maneno mazur na ya hekima kama makonda,,ukitaka makonda akumalize mpe nafas ajitetee,anakipaji sana cha maneno kama ruge,,hata wasanii ni mashahid wa hili ila ndio ile ile kua wakisema wanapigwa ban ya maisha pale.. Ni mtu ambae anakuteketeza huku anacheka,,ila mwenye haki kati yao ataibuka na tabasamu
 
Kwanin unasema siraha ya shigongo kwa ruge ni mimba ya zamaradi kwani kuna ubaya gan
Irudie tena hyi sentensi..nmemaliza kwa kusema japo sio mbaya kuzaa na boss wako.. Watu wanayajua ambayo huyajui ndugu ukadhan unayaishi peke yako..
 
Shigongo anakaa Nyagwa nini?
 
Mmmmmhhh Dududbaya alikuwa Swahiba wa Ruge??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…