Diana Spencer
JF-Expert Member
- Nov 14, 2018
- 3,609
- 5,144
Si ndo hapo[emoji16]Kwani yeye ni baba?
Lol [emoji23]
[emoji419][emoji419][emoji419]Ila Zari anapendwa jamani hadi kaanzishiwa uzi kwa jambo dogo kama hilo aiseeee
Utawaweza watu na mambo yaoNimeangalia ni kweli mara ya kwanza Zari alikuwa anaongea ongea lkn baadae Anita aliomba msamaha yakaisha na akamtangaza mshindi vzr na Zari akiwa anashangilia sidhani kwa upande wangu kama ilikuwa big issue
Ndio ameolewa ivyoo..Kiukwel huyu zari anatabia zakipuuzi lengo lake ilikuwa kutafauta Kiki kupitia Hilo shindano ndo maana alitoa lugha za kujitapa Mara aseme ana hela nyingi Mara atoe lugha za dharau kwa huyo host kiufup aliaribu Hilo shindano sinzani Kama atapata nafasi kubwa tena Kama ile.Huyu mwanamke hafai kuwa wife material kabisa anaonekana ni mtu mwenye jeuri kujiona hiv kwa mfano angekuwa level ya Beyonce hiv ingekuwaje?Mara ya kwanza nilizani mtu wa maana kumbe ni walewale km dada zetu wa hapa bongo.
Ningeshangaa kama bifu lao lisiwe la mwanaume hahaha,[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama minion wake tu umepanic namna hii sipati picha yeye huko alipo.
Hehehehehhehaloooo lol
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] kama minion wake tu umepanic namna hii sipati picha yeye huko alipo.
Hehehehehhehaloooo lol
Tatizo ni diamond,alimla Anith akiwa kwenye mahusiano na Zari!Mbona kama umechukua upande kabisa hebu twambie nini kilitokea na nani alifanya nini na ilikuaje aliyefanya nini hadi akafanya nini? na ilikuwaje alifanya nini aonekane ndio kafanya nini kuliko aliyefanya nae......
Weka hata kavideo tuone kama ulicho andika kinaendana na yaliyotokea.....Weka data na ushahidi ndugu Warumi .....umechukua upande mapema kabla ya kutuelezea story nzima bila kumpendelea mtu....
Tafadhali mwaga data na ushahidi...
Tatizo ni diamond,alimla Anith akiwa kwenye mahusiano na Zari!
Fatilia kwa makini mkuu. Anita kila kipata chance redion anamtukana zari huko uganda
I’m loving the attitude , ***** huyo anitha anajifanya decent mbele za watu kumbe ni ka nyoka[emoji23], naona alipata chance jana akaona bora amalizane nae, by the way alivyom confront khaa kweli zari jeshi la mtu mmoja *****, anitha kanywea ahaha watu wanajifanya midomo wakiwa mbali ila karibu wanakuogopa mxiie
Yet Zari shouldn’t react that way , bora tu wangefanya back stage tusikie tu waligombana but sio vile in public , dah kaniangusha but I stil love her
Lulu na hamisa they are not in good terms we all know that , kama unakumbuka kwenye usku wa Tuzo za sinema zetu lulu alikua host , kuna mda ilibid ataje star ambaye atakuja mpa tuzo msanii, bahat nzuri au mbaya akamsoma hasimu wake hamisa mobeto, tena alim address vizur tu , mwanadada mrembo hamisa mobeto, hat alipotokea walipotezeana tu there was no drama kila mtu alifanya biashara zake wakaachana, but kila mtu was expecting something different but haikutokea
Huyo muandaaji wa miss Uganda she knows well Zari na anita they are not in good terms , probably she did invite two of them to participate on the event ili apate watu kutokana na ukwel kwamba we all know Zari ako na nyota buana
Kwa kweli Zari was very disrespectful pale..So this is what happened [emoji23][emoji23][emoji23], it’s like Zari and anitha had a long secretly beef, na pale Zari was bragging juu ya anita, she wanted to show her who she is na blah blah, si unajuaga bitches[emoji23], I conclude by saying Zari was a bit harsh , there was no need for all that cheap drama on the stage , anitha was humble and decent , but Zari tried to confront anitha na kumuonyesha madharau kuwa Anita is nothing and she rich an al that.