Bifu la Zari bossy lady, Anitha Fabiola lafika pabaya...

Bifu la Zari bossy lady, Anitha Fabiola lafika pabaya...

Kwa lulu na hamisa. Hamisa asingeweza kufurukuta pia kipindi hicho alikua anatembelea zaidi kiki ya domo,kumtibua lulu ni sawa na kumtibua majizo, angejuta

Anita alijiamini sababu kila akichungulia page zinazomchukia zari aliona atapata kiki na kumharibia zaidi kwa madili ya huko Uganda

Ila angempotezea tu , now kampa AirTime followers kama wote [emoji23], that bitch is living the life. Ki ukwel But yet hamfikii Zari , yan now mpaka akina huddah wanajipendekeza kwa anita just to piss off Zari [emoji23]
 
Kwa kweli Zari was very disrespectful pale..
Open it
U supposed to be doing the admin work here chaaa[emoji1430][emoji1430][emoji1430]

She was bitching like waah, never seen that before , ako na madharau mengine mabaya sana, Zari ni mtu ambaye hajui kuji humble herself kabisa especially kwa mtu aliyelala na mpenzi wake
 
IMG_1928.JPG


Anita mbele ya Zari anaonekana kama housegirl wake [emoji23]
 
Kiukwel huyu zari anatabia zakipuuzi lengo lake ilikuwa kutafauta Kiki kupitia Hilo shindano ndo maana alitoa lugha za kujitapa Mara aseme ana hela nyingi Mara atoe lugha za dharau kwa huyo host kiufup aliaribu Hilo shindano sinzani Kama atapata nafasi kubwa tena Kama ile.Huyu mwanamke hafai kuwa wife material kabisa anaonekana ni mtu mwenye jeuri kujiona hiv kwa mfano angekuwa level ya Beyonce hiv ingekuwaje?Mara ya kwanza nilizani mtu wa maana kumbe ni walewale km dada zetu wa hapa bongo.
Hahahaa!kaka tutake radhi wabongoo...hatujafikia ujuhaa uleee
 
Hahahah acha hizo
Binamu naambiwa waandaji wa hyo event ni couple jina nimewasahau, yani ni marafiki wa karibu sana na Zari ndio maana bibie alikua analeta jeuri na usikute kashalala na huyo mwanaume[emoji23], ila khaa Zari kiboko sio kwa ile open it [emoji23][emoji23]
 
Kuhusu followers naona wote wanafaidika zaidi. Ila huyu mwanamke anaongelewa kupita kiasi yaani huwa nawahurumia wanaomchukia
Ila angempotezea tu , now kampa AirTime followers kama wote [emoji23], that bitch is living the life. Ki ukwel But yet hamfikii Zari , yan now mpaka akina huddah wanajipendekeza kwa anita just to piss off Zari [emoji23]
 
Nimeangalia ni kweli mara ya kwanza Zari alikuwa anaongea ongea lkn baadae Anita aliomba msamaha yakaisha na akamtangaza mshindi vzr na Zari akiwa anashangilia sidhani kwa upande wangu kama ilikuwa big issue
Umeangalia sehemu gani
 
Back
Top Bottom