warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,218
- 18,440
- Thread starter
- #81
Kwa lulu na hamisa. Hamisa asingeweza kufurukuta pia kipindi hicho alikua anatembelea zaidi kiki ya domo,kumtibua lulu ni sawa na kumtibua majizo, angejuta
Anita alijiamini sababu kila akichungulia page zinazomchukia zari aliona atapata kiki na kumharibia zaidi kwa madili ya huko Uganda
Ila angempotezea tu , now kampa AirTime followers kama wote [emoji23], that bitch is living the life. Ki ukwel But yet hamfikii Zari , yan now mpaka akina huddah wanajipendekeza kwa anita just to piss off Zari [emoji23]