Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa wanawake mbona haya mambo ni kawaida sana kwao.Hao wandaaji walikuwa hawajafanya vetting Vya kutosha kuwaweka hao mahasimu kwenye platform moja?This pic explain it all the yesterday's drama.View attachment 1164332
Ndio maana bwn Diamond kamuacha huyu mwanamke lazima atakuwa na kasoro flani kubwa ambazo hazidhibitiki.....Kiukwel huyu zari anatabia zakipuuzi lengo lake ilikuwa kutafauta Kiki kupitia Hilo shindano ndo maana alitoa lugha za kujitapa Mara aseme ana hela nyingi Mara atoe lugha za dharau kwa huyo host kiufup aliaribu Hilo shindano sinzani Kama atapata nafasi kubwa tena Kama ile.Huyu mwanamke hafai kuwa wife material kabisa anaonekana ni mtu mwenye jeuri kujiona hiv kwa mfano angekuwa level ya Beyonce hiv ingekuwaje?Mara ya kwanza nilizani mtu wa maana kumbe ni walewale km dada zetu wa hapa bongo.
Kwani Mrs van vitu vinavyotrend ni vinakuaga vitu vya aina gani? Km mtu kusema tu mama nakufanya au 900 itapendeza inatrend itashindwa kuwa hiyoYani miss Uganda ilivyo trend Tanzania naona kuliko hata huko uganda. Zari inabidi awe chief judge au host wa miss Tanzania ili itrend nayo
Yah inawezekana ikawa hivyo km ulivyosema kutokana na Mambo anayoonesha huyu mama.Ndio maana bwn Diamond kamuacha huyu mwanamke lazima atakuwa na kasoro flani kubwa ambazo hazidhibitiki.....
Kamanda huyu dada ni mzuri ile mbaya ametokea kunivutia natamani niwe angalau boyfriend wake wa ndoto.Huyu mchuchu mbona kama matiti yake yamepishana...
La kushoto lipo chini, kulia lipo juu
Hivi na hizo kucha ndefu, maungo yake ya siri anasafishaje....
Yani bby mimi nimetoka kapa kabisa nipe koneksheni.Kama huna connection huu uzi huwezi kuuelewa katu
Kwa wanawake mbona haya mambo ni kawaida sana kwao.Hao wandaaji walikuwa hawajafanya vetting Vya kutosha kuwaweka hao mahasimu kwenye platform moja?
Zari alitaka kumuonyesha anitha kuwa hamuwezi kwa lolote, she was a judge while anita alikua host na isitoshe waandaaji wa tuzo ni marafik zake wa kutupwa that’s why alifanya vile
Hata Mimi nashangaaKwahiyo kuleta malumbano kwenye tukio muhimu namna hii kisa waandaaji ni rafiki zako ndio akili?..Waafrika tuna matatizo sana
Kwani Hilo shindano liliandaliwa kwa ajili ya huyo zari na anitha? au kwa ajili ya mamisi?Zari alitaka kumuonyesha anitha kuwa hamuwezi kwa lolote, she was a judge while anita alikua host na isitoshe waandaaji wa tuzo ni marafik zake wa kutupwa that’s why alifanya vile
Huyu warumi akili Hana sijui anawazaga kwa kutumia Nini?Kwahiyo kuleta malumbano kwenye tukio muhimu namna hii kisa waandaaji ni rafiki zako ndio akili?..Waafrika tuna matatizo sana