Bifu la Zari bossy lady, Anitha Fabiola lafika pabaya...

Bifu la Zari bossy lady, Anitha Fabiola lafika pabaya...

Yani miss Uganda ilivyo trend Tanzania naona kuliko hata huko uganda. Zari inabidi awe chief judge au host wa miss Tanzania ili itrend nayo
 
Kiukwel huyu zari anatabia zakipuuzi lengo lake ilikuwa kutafauta Kiki kupitia Hilo shindano ndo maana alitoa lugha za kujitapa Mara aseme ana hela nyingi Mara atoe lugha za dharau kwa huyo host kiufup aliaribu Hilo shindano sinzani Kama atapata nafasi kubwa tena Kama ile.Huyu mwanamke hafai kuwa wife material kabisa anaonekana ni mtu mwenye jeuri kujiona hiv kwa mfano angekuwa level ya Beyonce hiv ingekuwaje?Mara ya kwanza nilizani mtu wa maana kumbe ni walewale km dada zetu wa hapa bongo.
Ndio maana bwn Diamond kamuacha huyu mwanamke lazima atakuwa na kasoro flani kubwa ambazo hazidhibitiki.....
 
Yani miss Uganda ilivyo trend Tanzania naona kuliko hata huko uganda. Zari inabidi awe chief judge au host wa miss Tanzania ili itrend nayo
Kwani Mrs van vitu vinavyotrend ni vinakuaga vitu vya aina gani? Km mtu kusema tu mama nakufanya au 900 itapendeza inatrend itashindwa kuwa hiyo
 
Huyu mchuchu mbona kama matiti yake yamepishana...

La kushoto lipo chini, kulia lipo juu
Kamanda huyu dada ni mzuri ile mbaya ametokea kunivutia natamani niwe angalau boyfriend wake wa ndoto.
 
Yani miss Uganda ilivyo trend Tanzania naona kuliko hata huko uganda. Zari inabidi awe chief judge au host wa miss Tanzania ili itrend nayo

Kuna watu wataiga kufanya kama alivyofanya Zari kwa stage “ open it , open it[emoji23]
 
Kwa wanawake mbona haya mambo ni kawaida sana kwao.Hao wandaaji walikuwa hawajafanya vetting Vya kutosha kuwaweka hao mahasimu kwenye platform moja?

Probably walijua, ila si unajua ile Kazi binamu, walidhan wangeweka tofauti zao pembeni na kufanya kazi , pengine waandaaji walifanya makusudi kuwaweka pamoja kunogesha event , hata apa bongo waliwah kufanya kwenye tuzo za sinema zetu, Lulu alimtangaza hamisa aje kumtangaza mshindi wa tuzo ingawa wawili hao ni paka na chui, but wao walipotezeana tu
 
Ila nimeangalia hiyo video nimeona zari alichemka

Zari alitaka kumuonyesha anitha kuwa hamuwezi kwa lolote, she was a judge while anita alikua host na isitoshe waandaaji wa tuzo ni marafik zake wa kutupwa that’s why alifanya vile
 
Kwahiyo kuleta malumbano kwenye tukio muhimu namna hii kisa waandaaji ni rafiki zako ndio akili?..Waafrika tuna matatizo sana
Zari alitaka kumuonyesha anitha kuwa hamuwezi kwa lolote, she was a judge while anita alikua host na isitoshe waandaaji wa tuzo ni marafik zake wa kutupwa that’s why alifanya vile
 
Women matters (isoke in piereliquid voice)
it doesn't matter her matter no matters, haters gonna hate.
 
MAPENZI YANAUMA AISEEE.....[emoji119][emoji119][emoji119]
 
Hii nadhani muendelezo wa mambo ya instagram huyo dada ni mzuri kwel ila anashughulika na nini zari namjua bi tukinao mbona picha yake awajaweka hapa dah wamenivuruga itakuwa hapa mmoja kuchukua bank ya mwenzie
 
Back
Top Bottom