help me my Jesus
Senior Member
- Oct 8, 2016
- 102
- 45
We subri uone sasa. Diamond ajipange Gwajima ni mtumishi wa MunguGwajima ni mropokwaji tu! Hana cha ziada, atasikiluzwa na hiyo misukule yake tu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We subri uone sasa. Diamond ajipange Gwajima ni mtumishi wa MunguGwajima ni mropokwaji tu! Hana cha ziada, atasikiluzwa na hiyo misukule yake tu.
Gwajima huyu hyu aliyeanika Chet cha bashite cha dv 0 au unamzungumzia yupi?Gwajima haropoki jamani
Hiv huyu diamond ameishiwa mashairi mbaka aanze kuwaimba watumishi wa MunguHivi huyu gwajima hanaga kitukingine cha maana chakufanya zaidi ya kujibizana na watu.
Haya mambo ya kujibizana kilasiku yatamshushia heshima.
Wiki ijayo nipo kanisani saa 11 asubuhi [emoji1]
Unamjaza upepo mchungaji ili aweke mzigo mezani ww. Huna loloteNa ndio amepatikana!
Usanii tu na ujanja ujanja.Unamjaza upepo mchungaji ili aweke mzigo mezani ww. Huna lolote
Sio anatafuta bali anajisimamia, gwajima anamchezo mbaya na sio mzuri kabisaaa.
Njia moja wapo ya kutambua kilaza ni kitendo cha kufanya x kuwa z haya ni mambo ya ajabu kabisa.Anasupport kubwa ... My lord.. Toka wapi!?? Hivi mbona vilaxa mnaongezeka nchini kwa kasii!??
Support!!!???
Gwajima kwa taitoyake kujibizana na mtu Kama diamond nikujishushia heshimatu.Hiv huyu diamond ameishiwa mashairi mbaka aanze kuwaimba watumishi wa Mungu
Yaaaaani pale ni maporomoko tu.Gwajima haropoki jamani
Sema mtumishi wa sembendogo afanye mzki aache kutafuta kiki kwa watumish wa Mungu