Bifu lapamba moto on fire Diamond asema kama anazo na azitoe

Bifu lapamba moto on fire Diamond asema kama anazo na azitoe

Freelancer Wakala

JF-Expert Member
Joined
Feb 6, 2016
Posts
1,193
Reaction score
828
5e7e0e69cb763a1c6936c8700a6253e4.jpg
4c127883b724ee02b49babbe6b968367.jpg

Bifu la pamba moto Diamond amtolea povu Gwajima.Adai adai ni mnafiki na muongo.Je Gwajima akizinyaka hizi itakuwaje?
 
People are so stupid bitcjes can say anything about this man because of his past....but could be
just looking for a pay day!
 
Tatizo la wasanii wetu wengi wanaishi maisha ya video...wachache wako real wengi feki.
Hizi ndiyo athari za mtanzania kuishi maisha ya mmarekani
 
Acha kukuza issue, anamjibu aliyemsema humo. Hamjui kuna watu wanatukana na kumpandia mtu hadi lazima yeye ameshindwa kuvumilia.

Naye ni binadamu, acha awajibu lolote

Gwajima kanisa lake lichunguzwe kiundani, ni la nini haswa. Hawamwabudu Mola bali udaku tu kupaisha biashara hiyo.
 
gwajima mtu wa hovyooo sana japo anasaidia kufichua baadhi ya maovu,ila hata kichaa anamsaada ktk jamii,mfano kuokota uchafu etc.mtu aliomba msamaha but still unamchokonoa tu,tena ngoja usifikiri kukaa kimya kwa vyombo vya dola usifkr ww ni champion,
 
Back
Top Bottom