Bifu lapamba moto on fire Diamond asema kama anazo na azitoe

Bifu lapamba moto on fire Diamond asema kama anazo na azitoe

Wacheni kukurupukia ujinga
hii si Acc ya Diamond
Mbona wazushi nyie!!
Mtawashika wapuuzi
Screenshot_2017-04-10-08-35-36.png
no research no right to say
 
Ache umbea wa kike na uchonganishi... Kayasema wapi?
 
Acha kukuza issue, anamjibu aliyemsema humo. Hamjui kuna watu wanatukana na kumpandia mtu hadi lazima yeye ameshindwa kuvumilia.

Naye ni binadamu, acha awajibu lolote

Gwajima kanisa lake lichunguzwe kiundani, ni la nini haswa. Hawamwabudu Mola bali udaku tu kupaisha biashara hiyo.
Ni mwendo wa ubuyu tu hakuna cha ziada.
 
Hivi huyu gwajima hanaga kitukingine cha maana chakufanya zaidi ya kujibizana na watu.
Haya mambo ya kujibizana kilasiku yatamshushia heshima.
 
Acha kukuza issue, anamjibu aliyemsema humo. Hamjui kuna watu wanatukana na kumpandia mtu hadi lazima yeye ameshindwa kuvumilia.

Naye ni binadamu, acha awajibu lolote

Gwajima kanisa lake lichunguzwe kiundani, ni la nini haswa. Hawamwabudu Mola bali udaku tu kupaisha biashara hiyo.
Ni mwendo wa ubuyu tu hakuna cha ziada.
 
Huyu mtoto anachanganyikiwa..... Hivi anajua kuwa show moja ya ngwajima inajaza uwanja wa taifa na watu elfu10 wanavaki nje..... Halaf Ibada ya wiki hii ni ndefu, inaanza ijumaa. We tafuta hayo makiki tu.
 
Ukisoma comments za watu unaweza ukajua uwezo wao wa kufikiri.......jf ishakua ka fb sasa wale Great Thinkers wamepungua. Angalien io picha vizur mcomment tena.
 
Unaposema huenda aliona , hapo unaongea kitu ambacho ni probability so huna uhakika nacho. Nakubaliana na wewe kwamba comments anazijua na si lazima aone yeye kama yeye but ana watu wengi wa karibu wanaomzunguka wanaoweza kumpa updates za kinachoendelea mtandaoni.
Ofcoz
 
Back
Top Bottom