Afande sele ameingia kwenye bifu nzito na chid benz baada ya afande kusema dito alitoka watu pori(man united) akaenda La familia(bolton) akimaaniisha dito alitoka man united timu kubwa akaenda bolton la familia timu ndogo,CHID AMEJIBU MAPIGO KWENYE UPANDE WAKE WA TWITER KWA MANENO MAKALI AMBAYO SI BUSARA KUYAWEKA HAPA, huku akisema yeye yuko ilala kama anamtafuta
nimeichek hiyo chanel gwala,anasema angalau sahv yupo Liverpool(tht) yuko level moja na manchester utd.Eti anajivunia backup kubwa aliyonayo mwenge jwtz so chid hamtishi kwa lolote,kaz kwao ngoja tuone final nani ataibuka kidedea
Watu kama chid benz akikuanzishia unakuja na platoon mnanyofoa nyayo then mnamla kiboga halafu mnamkata viganga ili vurugu zake za kise**e aziache!
nimeichek hiyo chanel gwala,anasema angalau sahv yupo Liverpool(tht) yuko level moja na manchester utd.Eti anajivunia backup kubwa aliyonayo mwenge jwtz so chid hamtishi kwa lolote,kaz kwao ngoja tuone final nani ataibuka kidedea
Chid benz acha vurugu afande sele ameongea ukweli la familia upo wewe tu hakuna mwingine anayelibeba kundi hata mwenyewe nilishangaa ditto alivyoenda la familia.
Afande sele ameingia kwenye bifu nzito na chid benz baada ya afande kusema dito alitoka watu pori(man united) akaenda La familia(bolton) akimaaniisha dito alitoka man united timu kubwa akaenda bolton la familia timu ndogo,CHID AMEJIBU MAPIGO KWENYE UPANDE WAKE WA TWITER KWA MANENO MAKALI AMBAYO SI BUSARA KUYAWEKA HAPA, huku akisema yeye yuko ilala kama anamtafuta