Victor wa happy
JF-Expert Member
- Apr 24, 2013
- 11,660
- 11,654
Kwa muonekano ni O level yule,Elimu ya Fid ni kwa ngazi gani
Tafuta show za fid uone maulaya huko Joh mwisho leaders hahahaaaaNa wala hatuhitaji sisi kama fans wake. Kitu haiuzi yann sasa ngoma ngumu kama hyo.
"[emoji444] Mchaga na mpare pesa ni jadi u can't separate [emoji444] haha" mziki pesa sio mziki ilimradi show mpaka uonewe uruma.
JohQuotesHIPHOP NI VILE UNAVYOISHI
RAP NI KILE UNACHOFANYA
SIKIO LA KUFA ZIBUKA,USIKIE HIZI DAWA itikia "Iam a professional"
Mc pekee nayepiga show frm January to December.Tafuta show za fid uone maulaya huko Joh mwisho leaders hahahaaaa
NGUVU YA ELIMU,INA UMUHIMU
PALE ELIMU IKITUMIKA
NALIPWA KWA VYOTE AMBAVYO HUVIJUI...itikia iam a professional
Hahahahaaa fid moto weweeeJohQuotes
Kuandika rahisi hatukopi kwenye vitabu.
"Watu wanaandika mistari konzi , mi naandika mistari ya maisha"
Tatizo vyanzo vyako vya kupata data ndo huwa vinanvunja mbavu hapa nacheka ujue....Mc pekee nayepiga show frm January to December.
Hiyo line ipo kwenye nyimbo yake kiazi ww" by the way kuna msanii gani wa Hip Hop anapiga show zaid ya Joh?Tatizo vyanzo vyako vya kupata data ndo huwa vinanvunja mbavu hapa nacheka ujue....
Yani wewe ni ZOOOBAADah kweli wewe inabidi ufundishwe maana ya hip hop yaani hapa tunaongelea nani anafanya real hip hop we unaanza kusema joh kapiga show nyingi. Na hip hop haipimwi kwa show na tuzo maana haviko kwenye misingi ile mitano ya zamani na hata hii nane ya sasa ya hip hop. Hip hop ina nguzo zake na kama hip hop ingekua hivyo ulivyoandika hapa nani angemjua mos def, nani angemjua krs one, nani angemjua rakim, nani angemjua andre3000, immortal technique na wengine kibao maana hutakaa ukawasikia kwa media hata siku moja na ni real mcs.
Dah yaani kuna umuhimu wa kuanzisha cyphers kwa ajili ya watu kujifunza hip hop ni nini.
Kwa kukusaidia tuu tafta hivi vitabu af uvisome.
The science of rap
The gospel of hip hop
Chuo kikuu cha hip hop.
Nazani vitakuonesha njia atleast ya hip hop ni nini.
Anachosha sana huyu jamaa. Amestick ktk past....Haha inakera sana mtt wa miaka ya 90 anajidai anajua hiphop na misingi yake wakat walionza nayo huko kina Snoop Birdman wamechange" this is new world mofc
Nitajie latest track ya Common nikakague maudhui....Kawaskize akina common dogooo...we unamjua Drake hahahahaaa unachelewa
Sidhani km ni kweli..fid anamafanikio kuliko joh sema joh roporopoFid Q zamani hizo,sasa hivi ni zamu ya Mwamba wa Kaskazini Joh....
Fid atabaki na heshima yake tu,ila kimafanikio anakalishwa vibaya na Joh.
Mkuu siwezi argue na wewe kuhusu hip hop tena maana nimegundua uelewa wako kuhusu hip hop ni mdogo sana kama sio hakuna kabisa.Mkuu hayo mambo hayo haya apply kwenye generation hii ndio maana mkiulizwaga hipHop ni kutaja sijui kina Krs One sijui nan huo ulimwengu wa zaman huko we ain't care about imebaki history " hata Fid ukicompare na hipHop ya zaman angeonekana mchumba tu basi tuseme Hip Hop imekufa maana hata huko ilipotokea wameipotezea now wanafanya Hip Hop Biashara ambayo kwa hapa Bongo Joh hz the King. Sawa nina uelewa mdogo wa Hip Hop na sinahaja yakufukua kulearn vitu vya kale.
Nachojua Joh anatupa GoodMusic zaid ya Fid baaasi.
Hata ukimuuliza mtt wa darasa la kwanza Weusi ni nani anakutajia.
Hata mimi sina muda pia.Mkuu siwezi argue na wewe kuhusu hip hop tena maana nimegundua uelewa wako kuhusu hip hop ni mdogo sana kama sio hakuna kabisa.
Ila ubishi hautasaidia chochote kama hutaki kujifunza
Joh ana exposure ganiHivi vigezo haviwezi kutupatia mbora kati yao....
Nijuavyo mimi....
Umri-Fid Q
Finances- Joh
Education-Fid Q
Exposure-Both...
Haya sasa niaambie who deserve to stay on top?
Wewe ndio uko less informed kwa taarifa yako. Na sikuambii ni nini hujui ...nakuacha na upoyoyo wako. hadi pale utapokuja elewa tofauti ya HipHop as a culture and Rap Music.Mkuu siwezi argue na wewe kuhusu hip hop tena maana nimegundua uelewa wako kuhusu hip hop ni mdogo sana kama sio hakuna kabisa.
Ila ubishi hautasaidia chochote kama hutaki kujifunza
I stand to be corrected. I'am not perfect.umeandika kwa kiingereza?[emoji15] [emoji15]