Bifu ya Fid Q na Joh Makini

Kikubwa nachompenda joh ni kuimba ujumbe wa kawaida kwa kutumia maneno yenye utata na yaliyochanganywa vizuri.. huwa nayatamka kila saa..
Kikubwa nachompendea fid ni kutumia maneno ya kawaida kuimba ujumbe wenye utata uliopangika vizuri.. huwa nayawaza kila saa
 
We kweli mvivu wa kufatilia vitu I am professional kacopy mashairi ya lily Kim jitahidi kufatilia vitu
 
Kwa muonekano ni O level yule,

Km mpoto ni darasa la 7 ila ukimuuliza elimu yake anakuambia nimekulia kotaz za udsm, Mara nimetafiri sjui nn

Jo makn yy kapiga QT

Mkuu mbavu sina fid Q anajitahidi kusoma vitabu na kufatilia mambo ya zamani baadae anacopy kwa watu wavivu watajua kichwa lkn kwa upande wa joh makini yeye mjanjamjanja
 
Naam,hapahapa ndipo nilipokuwa napasubiri.....
Na huyo Fid marioo anayelelewa na wanawake je?
Hili jambo huwa sipendi kulisema kwa heshima ya Fid ila mapopoma kama nyie ndio mnasababisha niseme.
nimetamani hata nikupe tuzo ya Nobel ya heshima
 
Wewe ndio uko less informed kwa taarifa yako. Na sikuambii ni nini hujui ...nakuacha na upoyoyo wako. hadi pale utapokuja elewa tofauti ya HipHop as a culture and Rap Music.
Hahahah yaani vitu nilivyojifunza mwishoni mwa miaka ya tisini ndo uje unifundishe wewe saa hizi??
Mtu ambae hujui hata misingi ya hip hop ni ipi??kweli umenichekesha sana
 
Hapa naona OLD SCHOOLS upande wa Fid Q na NEW SCHOOLS upande wa Joh Makini.
 
Hahahah yaani vitu nilivyojifunza mwishoni mwa miaka ya tisini ndo uje unifundishe wewe saa hizi??
Mtu ambae hujui hata misingi ya hip hop ni ipi??kweli umenichekesha sana
Sasa mbona unajibehave kama Zero Brain...!!!???
 
Fid Q amebaki kwenye misingi ya hip hop kwahiyo ndo mfalme.Joh Makini amekuwa sasa kama anaimba r n b,anaremba sana
 
alipenda kwenda na starehe akasahau SIKU HAZILINGANI,pesa huja na starehe na matatizo humohumo ndani,hakuna kina kinachokauka mapema kama MACHOZI,japo mwili ubaki na huzuni na usoni ishara ya MAJONZI,kizuri ni kizuri lakini CHENYE UBORA NI BORA. Hapa ndipo ninapo mkubali fid,bila watu flaniflan kuwashika mikono kinaflan huyu jamaa alitakiwa awe kama walivyo kina Jay_Z na DR DREE huko mbele.
 
Hii ndio JF ya siku hizi,nafikiri hii mada imeshawahi kujadiliwa miaka ya nyuma
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…