Nifah umejuaje Fid analelewa na wanawake?Naam,hapahapa ndipo nilipokuwa napasubiri.....
Na huyo Fid marioo anayelelewa na wanawake je?
Hili jambo huwa sipendi kulisema kwa heshima ya Fid ila mapopoma kama nyie ndio mnasababisha niseme.
Kama huyu mtoa mada anavyoandika uongoHivi MTU unajisikiaje kuongea uwongo ili ukidhi furaha yako?
Kufanya hvyo tu sio shughuri ndogo, hebu niambie wewe hadi kugundua kachukua mstari ulifanya kazi kiasi gani au na wewe uliambiwa ndo ukaenda kuusikiliza?At last kuna mtu amejua huyu Jamaa ni corny... Lile goma lilikua disi ya LL COOL J. Na fid alifanya kutafsiri mashahiri,hata ile ngoma ya Nasir Jones "I made you look" kaiba mashahiri kule.
Sasa wanapo kuja watu ambao sio wafuatiliaji wanamwona kichwa.
Ukiwa mfuatiliaji mzuri wa culture hii ya Hip Hop especially kwenye kipengele cha kughani, udokozi wa hawa wasanii wetu utautambua kirahisi sana.Kufanya hvyo tu sio shughuri ndogo, hebu niambie wewe hadi kugundua kachukua mstari ulifanya kazi kiasi gani au na wewe uliambiwa ndo ukaenda kuusikiliza?
My Chaubishi Nifa. I Love It Ukiwa Katika Keyboard Battles.[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]Naam,hapahapa ndipo nilipokuwa napasubiri.....
Na huyo Fid marioo anayelelewa na wanawake je?
Hili jambo huwa sipendi kulisema kwa heshima ya Fid ila mapopoma kama nyie ndio mnasababisha niseme.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku hizi nimepunguza thou.My Chaubishi Nifa. I Love It Ukiwa Katika Keyboard Battles.[emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7] [emoji7]
Usipunguze. Some Of Us Like A Tough Hearted Girl...[emoji23] [emoji23] [emoji23] siku hizi nimepunguza thou.
Mtafute mtu anaitwa MAALIM NASH
utaelewa nn maana ya hip hop
True said brother mwamba utaendelea kudumu daima katika hii mada wewe ndo umetoa ushahidi halisiCurrently JohMakini is the Best Rapper in East Africa according to Tuva Mzazii
The guy he say he can fill a stadium even in January..
Ndio Msanii wa HipHop anayepiga shows nyingi zaid kila Mwaka kuanzia 2011 mpaka leo hii 2016
Ndio msanii wa Hip Hop aliyeweza ku mentain Tangia ametoka mpaka leo yuko OnTop wengi wamepotea wengine wako Bagamoyo Sober House teh teh na wanandoto za kurudi kwenye game siku 1.
Ndio msanii wa HipHop ambaye nyimbo zake zinakaa sana kwenye Chat Radio station zote Tz according to Marimba Chat ya Bongo5 na CMEA East Africa.
Fid Q zamani kwa sasa hata Darasa anamkalisha.
Respect to King Joh [emoji146] [emoji146] [emoji146]
Kauli zipi walipishana mfano mkuu??Hawana beef wanapishana kauli