Currently JohMakini is the Best Rapper in East Africa according to Tuva Mzazii
The guy he say he can fill a stadium even in January..
Ndio Msanii wa HipHop anayepiga shows nyingi zaid kila Mwaka kuanzia 2011 mpaka leo hii 2016
Ndio msanii wa Hip Hop aliyeweza ku mentain Tangia ametoka mpaka leo yuko OnTop wengi wamepotea wengine wako Bagamoyo Sober House teh teh na wanandoto za kurudi kwenye game siku 1.
Ndio msanii wa HipHop ambaye nyimbo zake zinakaa sana kwenye Chat Radio station zote Tz according to Marimba Chat ya Bongo5 na CMEA East Africa.
Fid Q zamani kwa sasa hata Darasa anamkalisha.
Respect to King Joh [emoji146] [emoji146] [emoji146]