Bifu ya Fid Q na Joh Makini

Pamekua na tetesi kwamba mashabiki ndio hasa chanzo na wachochezi wakubwa kwa ma'legendary wa sanaa.
Hii huanza polepole na wakati mwingine kuwafikia wahusika na kisha kupelekea misigano na mabishano kwa kila upande kutaka kuwaonyesha mashabiki kwamba upo vizuri na bora zaidi ya upande mwingine.
Lakini chanzo ni mashabiki tu aiseeee.....
 
Tuache hizi ligi ndogo aisee, tusikilize mziki mzuri

Haya mambo ya Vanessa na Jide sijui Dai na Kiba na Joh na Fid na ujinga mwingine ni kuua vipaji tu
 
Joh alishaacha misingi zamani kaamua kupiga hela.. In hiphop ground fid still the best... Joh siyo yule tena.
 
Watu wanaizungumzia hiphop kama wanavyoizungumzia afro pop ya kina jeux sijui..Joh alishaacha misingi Fid remaining there Mzee na ukitoa fid kwangu ni Nick mbishi Joh hapana siku yyte anaeza kuja na taarabu huyu hahahahaaaaa...
 
Katika decade hii ya sasa muziki unaanzia club kuhit! Kwa maana hiyo Joh yuko juu kwa sasa, watu hawataki tena kusikia habari za mistari inayoumiza kichwa!
Ww ndo hutaki sisi tunataka sana coz bongo zetu zinaruhusu.
 
Elimu ya Fid ni kwa ngazi gani
Hivi vigezo haviwezi kutupatia mbora kati yao....
Nijuavyo mimi....
Umri-Fid Q
Finances- Joh
Education-Fid Q
Exposure-Both...
Haya sasa niaambie who deserve to stay on top?
 
Fala kweli wewe.We umewajuaje hao?

Fid muda wake umeisha.Hata Joh pia atapita.
Muda umepita kivip ?..Joh muweke na kina Ney Wa mitego huko na kina gosy b,zillah ndo level zake kwa fid huku kuna kina Jay moe, Nick mbish na wengine
 
Fact.. Seems u knw much abt hiphop this is beyond th truth na ukitaka kujua anagalia Joh mashabik wake wengi ni wadada na mayoyoo.
 
Hivi vigezo haviwezi kutupatia mbora kati yao....
Nijuavyo mimi....
Umri-Fid Q
Finances- Joh
Education-Fid Q
Exposure-Both...
Haya sasa niaambie who deserve to stay on top?
Ulinganifu mzuri ni pale vilinganisho vinapokuwa bayana, katika bandiko lako kuna mambo yanahitaji yafafanuliwe vizuri na kwa umakini ili ulinganifu wako ueleweke. Kwa Mfano ungetuwekekea hivi Finances: Joh 9 Billion, Fid Q 1Million: Educatio, Joh Std 7, Fid Q Form 4, etc ets.... Lakini kwa hapo naona kama haupo kisayansi zaidi. Labda utupatie ufafanuzi bayana ili tukuelewe vizuri.
 
Jay moe nusu mtu nusu jini... Hatari sana yule mtu... Joh kawa na mziki mwepes sana
Stimu zimelipiwa ndo wimbo wangu wa mwisho kuusikiliza kutoka kwa joh kiukwel tangu hapo sijawa elewa anafanya nini kile.
Namsubiri arudi joh yule niliemzoea tangu kipindi kile si huyu anae haribiwa na akina nikki wa pili asee
 
Mnahangaika bure tafuta nyimbo hizi mbili zote joh hayumo na ndo nyimbo zilizowaunganisha wakali wa hip hop
Mchiz wangu rmx
Mimi remix ya geez
Tabu watu wa ukaskazini yani wakishafanikiwa kidogo tu wanatengeneza empire ya kubebana wao kwa wao bahati mbaya hata Yule muhaya ruge kaingia king sikj hizi clouds ni nahreel,Vanessa, nick wa pili, joh, g nako, na tht ! Lazima akina fid wapotee maana mainstream wanapigwa akina joh na tht! Ndo maana watu wenye akili wanamchukia ruge anahua vipaji vingi kisa radio yake ina nguvu
 
Mwamba wa kaskazini ni zaidi
Sio kwa kwamba na chuki na fid

Karne hii watakiwa kwenda spidi

Kufuga rasta na wazungu ni ujiko wa kizamani

Joh anabadilika aweze jenga
rosheni .....
Fid moyoni mgumu ila usoni anapaka losheni ....

Amani sana kwa wanangu wa chuga sinoni ,ngaramtoni,matejo ,olololo mpaka kijenge juuu
 
Stimu zimelipiwa ndo wimbo wangu wa mwisho kuusikiliza kutoka kwa joh kiukwel tangu hapo sijawa elewa anafanya nini kile.
Namsubiri arudi joh yule niliemzoea tangu kipindi kile si huyu anae haribiwa na akina nikki wa pili asee
Joh watoto wamemmeza nae kawa kama mtoto mtoto hivii me mwenyewe namsubiri joh yuleeee wa NIAJE NI VIPI MBNA HAURUDI??..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…