Bifu ya Nikki Mbishi na P the MC

Dah yani dis track niliyoisikia Jana wasafiFm ikimlenga Nikki mbishi aisee ni next level jamaa kadiss kupita maelezo
Binafsi Nina Imani sana na Nikki mbishi naamin atakuja na chuma hataniangusha
 
Hana hata kazi za maana halafu uanze kumfananisha na Mbishi

Halafu kuna watu wanasema hamna dis track kali kama ya Wenge

Hivi hao wanasema hivyo wa Nafahamu ngoma za Vinega? Au ndio wa juzi juzi

Je wanaijua ngoma ya Neema (Ney wa Mitego) ya Mbishi
Amini labda kama Dogo anajiona kakua au ndio mawenge yenyewe sasa

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Sema walio wengi hum inawezekana wakawa si wafatiliaji sana wa hphop,wenge mwenyewe naona atakua anajuta kuanzisha chokochoko
 
~ p mawenge amemchana sana nikki....ngoma ni futi sita kweli... Ila nategemea reply kali zaidi....cha kushangaza p kaandika kuwajibu mashabiki wa mbishi kwa mujibu wake mwenyewe ili awaoneshe kama anaweza.
 
P Mwenge ndio mdudu gani

Nick Mbishi ni next level

Sent using Jamii Forums mobile app

Kama humfatilii P The Mcee ni bora ukakausha tu mzee.. Ila kusema P ni mdudu gan sie wadau wa hiphop ya bongo tunakuona KOLO usiyejua kitu..

Harakati zote za Tamaduni P yumo, sas we unazani adi kuamimika tamaduni ni jambo jepesi eehh??
 
Hii ngoma nimeipakua mda huu kutoka mtandaoni asee ni bonge la ngoma yani jamaa kajua kumchana mchizi! Japo mie mshabiki wa zile za kulia lia ila hii ya kufoka foka ni kali kwakweli
 
Katoa kazi gani huyo Wenge wewe mtoto wa KOLO?

Mambo ya kufananisha Mbishi na vitu vya ajabu uache wewe kijana wa KOLO
Kama humfatilii P The Mcee ni bora ukakausha tu mzee.. Ila kusema P ni mdudu gan sie wadau wa hiphop ya bongo tunakuona KOLO usiyejua kitu..

Harakati zote za Tamaduni P yumo, sas we unazani adi kuamimika tamaduni ni jambo jepesi eehh??

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo wengi tunamkubali nick labda kwa aliyoyafanya nyuma, Nilikuwa shabiki wake mkubwa ila kwa sasa hamna kitu aseee.....
Anatoa nyimbo za hovyo.....
Kila interview yeye huwa kalewa, mfano juzi hapo aliulizwa kuhusu Dodo ya Alikiba akasema haijui....na hajui kama Ali katoa nyimbo.....( Huku nikujiona mkubwa kuliko wote kwenye Tasnia).
Ana stress za kufail nahisi, anadhani hapewi nafasi anayostahili kumbe yeye ndo hastahili hata tulichompa saiv.
Kwa sasa Naskiliza Album zake za mwanzo.....hizo nyimbo anazotoa sasa hapana ataskiliza mwenyewe.

Kuhusu P ni msanii mzuri haikuwa bure kushinda casstle lite unlock....
Anayesema hamjui P ana matatizo nahisi haijui Hip hop ya Bongo kiujumla....
Ni msanii pekee ambaye ni good story teller....
Top ten yako ya wana hip hop ngumu bongo ( achana na comercial sijui wanaita) hakosekani...
Ngoma kama÷
Baba msaliti
Run Dsm
Mitaa nayotoka..
Noma mwanangu...
Zinaonesha jinsi alivyo na uwezo wa kuja na ladha tofauti....na akaeleweka...
 
Katoa kazi gani huyo Wenge wewe mtoto wa KOLO?

Mambo ya kufananisha Mbishi na vitu vya ajabu uache wewe kijana wa KOLO

Sent using Jamii Forums mobile app

Huyo nikki alikosa watu sahihi wa kumchallenge ndio mwambo wa kujiona Mungu wa Rap ya kibongo..

Alimchana wakazi
Ney
Babu tale
King zila ( Tena huyu ndio kachanwa mara nyng sema jamaa alikuwa na kauoga flan kwa mchizi )

Sasa leo kakutana na mtamaduni mwenzake anaanza kutafuta huruma za mashabiki.. mwambie aache ushamba, unaskia we KOLO
 

Jamaa anatress sana yule. Toka ajitangaze kuacha mziki, anachoimba hakieleweki kbsa. Kuna nyimbo kafanya na Beka title, yani chorus na michano ni kama ule Piza na Bamia. Havieleweki. Haviendani..

Binafsi nilinunu album ya saut ya jogoo, ila samagoal hapana
 
Wewe mtoto wa KOLO unachekesha sana, sasa mtu kuwa vinyimbo viwili vitatu ndio ushamuita chellenger

Wenge apambane kama miaka 5 kwenye game kwa kiwango cha juu ndio uje na vistory uchwara vyako hivyo, sawa mwanangu (mtoto wa KOLO)?
Sent using Jamii Forums mobile app
 

Mwanangu ujue natumia nguvu nyng kukuelekeza na wew umekaza kichwa, nionee huruma mzee, ninaswaum..

P Mawenge yupo kwny game na hao kina Nikki toka enzi hizoo,

P Mawenge kafanya ngoma kibao km Huna jipya, Run Dsm, Miss u, na mengine mengiii

P mawenge kafanya Mixtape akiwa na Zaiid

P Mawenge kafanya jingle la ngumu nyeusi pale Ea radio. Yani saut ya jamaa inaskika kila siku pale..

P mawenge ndio Rapper bora kwa sasa Tz, kamfunika paka mwanangu Uno (kwenye avatar yng ) maana najua humjui pia..

P mawenge.... da tutakesha tukianza kumchambua huyu mchiz...

Umeelewa sasa we KOLO
 
tukiachana na harakati zake Nicki Mbish is the best
afu sio wote wanaoijua Dodo ya Alli kiba kama unaijua ww sio lazima na Nikki aijue
Hata P the Mc anajua kuwa Nikki is the best hiphop in Tz swala la kumchallenge ni sehem tu ya muzic
 
Kimsingi Nikki kashamdis msanii zaidi ya mmoja, ngoja aje na majibu ya hii diss. Diss ya P iko poa ila bado nipo upande wa unju nasubiri majibu

Hit direct to the Ntonku
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…