Bifu zito kati ya Ajib na Yondani, washindwa kupeana mkono uwanjani....

Bifu zito kati ya Ajib na Yondani, washindwa kupeana mkono uwanjani....

Kwanza aliewaambia wavae masweta saa 10 na hili joto la dar nani?

Sent using Jamii Forums mobile app
Swala la kuvaa Sweater huwa linatokea sana katika Derby na Big Matches sio Tanzania pekee angalia entrance scene's kwa mechi za ughaibuni Arsenal vs Spurs, Orlando Pirates vs Kaizer Chiefs (Jua likiwa kali kabisa) Liverpool vs Manchester United na mechi nyingine nyingi.
 
Swala la kuvaa Sweater huwa linatokea sana katika Derby na Big Matches sio Tanzania pekee angalia entrance scene's kwa mechi za ughaibuni Arsenal vs Spurs, Orlando Pirates vs Kaizer Chiefs (Jua likiwa kali kabisa) Liverpool vs Manchester United na mechi nyingine nyingi.
Acha hizo mjua wote ule na joto kali misweta mmekosa nguo nyingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Halafu sikujua kama Ajibu mshamba hivi mpaka alipopewa ucaptain. Hata akiwa anaongea na media. Leo umefika wakati wa kutambulisha kazubaa tu,mpaka Mwakyembe anamkumbusha
Karia ndio alimkumbisha alafu hakuwa na haja ya yy kuwapa mikono wachezaji wenzake alipaswa kuwatumbulisha tu.
 
Ni wakati wa Mechi ya Simba na Yanga leo jumamosi Feb 16,2019.

Tukio limetokea wakati kapteni wa Yanga Ajib anawatambulisha wachezaji wake kwa mgeni rasmi alipofika kwa Yondani akagoma kupokea mkono wa salam kutoka kwa kapten na kukimbilia kuushika mkono wa mgeni rasmi, bahati nzuri tukio limenaswa vizuri sana na Camera za Azam tv.....

Kuna jambo haliko sawa hapa inabidi litaftiwe ufumbuzi mapema sana katika harakat za kuwania ubingwa.

View attachment 1024211
Oh, umeuliza tatizo ni nini??
Ni wakati wa Mechi ya Simba na Yanga leo jumamosi Feb 16,2019.

Tukio limetokea wakati kapteni wa Yanga Ajib anawatambulisha wachezaji wake kwa mgeni rasmi alipofika kwa Yondani akagoma kupokea mkono wa salam kutoka kwa kapten na kukimbilia kuushika mkono wa mgeni rasmi, bahati nzuri tukio limenaswa vizuri sana na Camera za Azam tv.....

Kuna jambo haliko sawa hapa inabidi litaftiwe ufumbuzi mapema sana katika harakat za kuwania ubingwa.

View attachment 1024211
Tatizo la Yondan ni moja tu,

imagesZSANY64T.jpg
 
Manchester United vs Liverpool huwa inaitwa North-West Derby .
 
Ni wakati wa Mechi ya Simba na Yanga leo jumamosi Feb 16,2019.

Tukio limetokea wakati kapteni wa Yanga Ajib anawatambulisha wachezaji wake kwa mgeni rasmi alipofika kwa Yondani akagoma kupokea mkono wa salam kutoka kwa kapten na kukimbilia kuushika mkono wa mgeni rasmi, bahati nzuri tukio limenaswa vizuri sana na Camera za Azam tv.....

Kuna jambo haliko sawa hapa inabidi litaftiwe ufumbuzi mapema sana katika harakat za kuwania ubingwa.

View attachment 1024211
Mambo ya Maurinho na Pogba Man U
 
Liverpool na Man Utd sio Derby....

Sent using Jamii Forums mobile app

Copy and Paste from Wikipedia:

The Liverpool F.C.–Manchester United F.C. rivalry, also known as the North West Derby, is a high-profile inter-city rivalry between English professional association football clubs Liverpool and Manchester United. It is considered to be one of the biggest rivalries in the association football world along with the Old Firm derby in Scotland, Superclásico in Argentina, El Clásico in Spain, and Derby della Madonnina in Italy, and is considered the most famous fixture in English football.
 
Back
Top Bottom