Stephen Ngalya Chelu
JF-Expert Member
- Oct 31, 2017
- 8,252
- 18,335
Aisee.....yaaah but ni 21,196 kilometers long, and not 8850km..........Haya ndiyo malengo ya muda mrefu sio kama viongozi wa afrika wanabadilika rangi kama kinyonga.
Hii picha sijaielewa. Hayo majengo mengine ni ya nini?Huu ni Uzi maalum naanzisha ntakua najaribu kushea "vitu vikubwa" ambavyo vimeshawahi kurekodiwa katika sehemu mbali mbali duniani.
Namaanisha vitu ambavyo vimekua vikubwa kuliko kawaida tulivyozoea
Niwe muwazi hii Idea imechochewa (inspired) na kipindi Fulani cha kiteknolojia kutoka channel ya Discovery ambapo wanaongelea "Monster human marvels) kinakwenda kwa jina hilo la heading ya Uzi
Ila tofauti na kipindi hicho hapa ntaongelea Vilivyotengenezwa na binadamu(Man made) na vile vilivyotokea natural pia ntakua nikiweka vitu hivyo " to scale" kulinganisha na vitu vingine
Twende kazi
View attachment 1759722
Pasha Bulker(Meli ya kubwa Tani 76,000 ya kubeba makaa ya mawe) ilivyokwama kwenye tope 2 June 2007, Nobby beach,New Castle, Australia.......Sasa hivi ina jina jipya inaitwa MV Drake
Alikuwa anakaza kweli huyuRobert Pershing Wadlow
Alikuwa na urefu wa futi 8 na 11inch (2.72m) na uzito wa 199kg.
Alikufa akiwa na miaka 22 tuView attachment 1765733View attachment 1765734View attachment 1765735
🤣 hizo ni imagination tu.Alikuwa anakaza kweli huyu
Si kweliMsikiti unao vutia kuliko yote duniani huko Malaysia.View attachment 1759825
View attachment 1805933
Tallest bus
Yes nenda uingereza utalikutaHii ni kweli?
Nani atalipa hizo gharama za kwenda UK?Yes nenda uingereza utalikuta
SponsorNani atalipa hizo gharama za kwenda UK?
Wazungu namba nyingineNdio hii ni kweli. Kuna ile nyingine kule ndo urongo
View attachment 1774289
Kambale mkubwa mwenye kg 127 na urefu wa futi zaid ya 8
Air Tanzania🙄
Maelezo plz
Shemela umetishaaa.... Maana kuna vikubwa sana hapa duniani ambavyo havitakiwi kuwekwa hadharani..Angalizo katika kuleta vitu vikubwa tuzingatie maadili jamani.