Big, Bigger, Biggest...

Big, Bigger, Biggest...

yaaah but ni 21,196 kilometers long, and not 8850km..........Haya ndiyo malengo ya muda mrefu sio kama viongozi wa afrika wanabadilika rangi kama kinyonga.
Aisee.....
Nimekuwa nikisikiasikia kuhusu ukuta huu ila sikuwa nafuatilia sana ila hizo data zimeshangaza sana. Ngoja nipekuepekue kuhusu hii project.
 
Screenshot_20210602-144636.png

Tallest bus
 
Huu ni Uzi maalum naanzisha ntakua najaribu kushea "vitu vikubwa" ambavyo vimeshawahi kurekodiwa katika sehemu mbali mbali duniani.

Namaanisha vitu ambavyo vimekua vikubwa kuliko kawaida tulivyozoea

Niwe muwazi hii Idea imechochewa (inspired) na kipindi Fulani cha kiteknolojia kutoka channel ya Discovery ambapo wanaongelea "Monster human marvels) kinakwenda kwa jina hilo la heading ya Uzi

Ila tofauti na kipindi hicho hapa ntaongelea Vilivyotengenezwa na binadamu(Man made) na vile vilivyotokea natural pia ntakua nikiweka vitu hivyo " to scale" kulinganisha na vitu vingine

Twende kazi

View attachment 1759722
Pasha Bulker(Meli ya kubwa Tani 76,000 ya kubeba makaa ya mawe) ilivyokwama kwenye tope 2 June 2007, Nobby beach,New Castle, Australia.......Sasa hivi ina jina jipya inaitwa MV Drake
Hii picha sijaielewa. Hayo majengo mengine ni ya nini?
 
Hii picha sijaielewa. Hayo majengo mengine ni ya nini?
Kule chini ni beach baada ya beach juu kuna hotel na uwanja wa golf ndo picha ilikopigwa ikionesha hio meli ilipokwama kule chini
 
Back
Top Bottom