bei yake sasa na kwa viwanja vya hapa bongo sizan kama inaweza kutuaAisee sasa tungeimiliki hii hapa tz kipindi cha mwendazake c angetoa offer wilaya kisarawe wote tukatembelee chato
Ni cargo liner hiyoAisee sasa tungeimiliki hii hapa tz kipindi cha mwendazake c angetoa offer wilaya kisarawe wote tukatembelee chato
huyu mdudu mate yake yasikuguse, full of parasitesView attachment 1761803
[emoji117]Komodo Dragon - Mjusi mkumbwa kuliko wote duniani na anapatikana katika kisiwa maarufu (Komodo Island).
Yaaah ni kweli komodo dragon saliva contains highly number of septic bacteria ambao wanamsaidia kwenye bring down prey.huyu mdudu mate yake yasikuguse, full of parasites
Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Hii lazima itakuwa ina'shoot "anti-materiel" rounds i.e. risasi maalumu zinazoweza kupenya "body" ya kifaru cha jeshi na armored vehicles.View attachment 1760826Anzio 20mm Sniper Rifle
silaha ya kimkakati, armour piercing roundView attachment 1760826Anzio 20mm Sniper Rifle
haka kamnyama ndio kale kwenye Ile short clip ya "amkeni amkeni wamefungwa tena buana"[emoji3]View attachment 1761758
[emoji117]Spider Monkey - ni nyani wanaosifika kuwa na mikia yenye nguvu na mirefu kwa ajili ya kuning'inia kwenye matawi.
[emoji117]Wanapitakana Central na South America.
Bro unakumbuka kiongozi wa wanyonge alimnyanyua toka nyuma msaidizi wake akamwambia haya na wewe njoo useme unachangia shiling ngapi?
na haya matuta ya bongo si litabinuka siku ya uzinduzi?😂😂😂😂😂😂The tallest bus in the world View attachment 1760893
View attachment 1760795
Kikokotoo cha Blue whale
Anapatikana wapi uyu temboView attachment 1760412
Loxodonta Africana ( Elephant) - One of the largest land mammal on earth.
Yellow Fin Tuna FishHahahaaa watu wataleta mambo ya sirini???
Hii ningependa iwe science/educational post sio watu walete misambwanda
View attachment 1759768
Monster from the sea
Huyu jeshini si walimuonea tu,ikitokea ambush ya ghafla atakimbia kweli?View attachment 1759821
Huyu jamaa alikua ni msanii wa vichekesho akizunguka na Circus carnivals watu wanamshangaa urefu wake kwa kulipia hela. Wakati wa vita Adolf Hitler akamkamata na kumlazimisha ajiunge na jeshi (Kikosi cha SS)
TanzaniaAnapatikana wapi uyu tembo
Sasa hii si nyumba kabisa jamaa..!?Biggest dumptruck in world i
Belaz 75710
Inauwezo wa kubeba 496ton(440-long- ton; 496-short-ton)View attachment 1760682View attachment 1760683
CAT 797F load capacity 400tonsView attachment 1760687View attachment 1760686
karibu kwenye ulimwengu wa mashine