Big, Bigger, Biggest...

Aisee sasa tungeimiliki hii hapa tz kipindi cha mwendazake c angetoa offer wilaya kisarawe wote tukatembelee chato
bei yake sasa na kwa viwanja vya hapa bongo sizan kama inaweza kutua
 
Ni cargo liner hiyo

Sent from my Infinix X650B using JamiiForums mobile app
Bro unakumbuka kiongozi wa wanyonge alimnyanyua toka nyuma msaidizi wake akamwambia haya na wewe njoo useme unachangia shiling ngapi?

Yule angekchukua mizigo yote ya mafenesi na mihogo kutoka samvu la chore kupelekwa mwanza mall au chato mall!
Jamaa alijua kuthubutu mwendazake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…