Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hii ni Kama mita ngapi?View attachment 1759779
Afraid of heights???.... Huku sio kwa kwenda hapo ni Preikestolen, Norway
Safi sana.View attachment 1759876
Jina la mti: Giant Groundsel (Inapatikana Mlima Kilimanjaro)
Sanasana michezo hio nimefanya arushaZaman nilikuwa nikiona aina yeyote ya konokono chumvi ilikuwa Ina mhusu. Hadi leo sijajua kwann ukiwamwagia chumvi wanayeyuka
Kilimanjaro ni maajabu.Kumbe bongo napo kuna maajabu
Mengi sana,ila sisi wenyewe ndo hatujielewiKumbe bongo napo kuna maajabu
Tayarii!!!Gloutós,chura laini zaidi Tanzania.View attachment 1760023
Haha mmeanzaGloutós,chura laini zaidi Tanzania.View attachment 1760023
Dah, kumbe tungekua tunaogelea tu mpaka [emoji631] chap kwa haraka..View attachment 1760396
Pangea Supercontinent - Before Breaking Apart
Iyo meli itakua na bima kubwa tu naamini kashalipwa kama iyoHuu ni Uzi maalum naanzisha ntakua najaribu kushea "vitu vikubwa" ambavyo vimeshawahi kurekodiwa katika sehemu mbali mbali duniani.
Namaanisha vitu ambavyo vimekua vikubwa kuliko kawaida tulivyozoea
Niwe muwazi hii Idea imechochewa (inspired) na kipindi Fulani cha kiteknolojia kutoka channel ya Discovery ambapo wanaongelea "Monster human marvels) kinakwenda kwa jina hilo la heading ya Uzi
Ila tofauti na kipindi hicho hapa ntaongelea Vilivyotengenezwa na binadamu(Man made) na vile vilivyotokea natural pia ntakua nikiweka vitu hivyo " to scale" kulinganisha na vitu vingine
Twende kazi
View attachment 1759722
Pasha Bulker(Meli ya kubwa Tani 76,000 ya kubeba makaa ya mawe) ilivyokwama kwenye tope 2 June 2007, Nobby beach,New Castle, Australia.......Sasa hivi ina jina jipya inaitwa MV Drake
Hapafai kuishiView attachment 1759769
Inaitwa Hallgrímskirkja(Usijilazimishe kutamka hilo jina utang'ata ulimi Bure[emoji23][emoji23]), ni kanisa kuubwa huko Iceland.