Binti Maringo
JF-Expert Member
- Jul 4, 2007
- 2,804
- 96
Kwa maoni yangu mahusiano ya nje ni kikwazo kikubwa sana kwa mwakilishi wetu. Ameshindwa ku-think ama kushiriki kwenye game independently, matokeo yake anajikuta anabadilika kila siku. Leo anakuwa friendly, kesho anakuwa mkali, keshokutwa analia, siku nyingine yuko kimya kutwa nzima na ukijumlisha na kuugua ugua basi mambo yanazidi kuharibika.
.
BigBrother is unfair. Housemates did not perfome 0% in today's task.
Anyway, I now know we've Shakira in BigBrother House (Elizabeth). She danced like a queen 🙂
Yaani as if you were reading my mind....Eliza sijui ni ushamba au nini but i don't think she went into that house with a strategy kama wengine wanavyoonyesha!!!She is not fun and she is taking things too seriously nahisi huyo boyfreind wake mzungu alimuambia ukiguswa tu na mwanaume nakuacha!!!! anadhani huyo kevin hana girlfreind kwao? dah!!!! she is so dumb!!!!mwanzoni i thought she was kool n all lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda i think she should just pack and leave......anadhani kukatika viuno kutamletea votes?Mkuu Mbogela,
Hilo sio game ila ni ujinga, ninasikitika kutumia hilo neno kwa kuwa hiyo pair imepoteza umaarufu wao wote. Sasa hivi wako kwenye crisis, kila mmoja anajuta kwanini alipata balaa ya kuwa kwenye pair hiyo.
Wamepoteza focus ya game, Eliza kawa mkali bila sababu ya kueleweka, Kelvin anaona aibu na amebaki kuwa mtu wa kujibembeleza kwa Eliza masaa yote na mtoto hataki kuwa close na kajamaa basi ni kero tupu.
Dada yetu yuko too moody, huwezi kutabiri ata-respond vipi akiambiwa kitu chochote na housemate yeyote na ninahisi most of housemates wanam-avoid kwa sasa na ndio maana most of the time yuko mwenyewe peke yake ama wanagombana na Kelvin.
Oboma forum wamembatiza kwamba ni mshiriki ambaye ni mgonjwa kila kukicha na saa zote wanaulizia yuko wapi, maana haonekani/hasikiki.
Hii pair ilikuwa very strong lakini tangu wameanza huo ujinga wao, wamepoteza mashabiki kibao. Hata Nigerians ambao walikuwa wapiga debe wakuu wa Kevin nao wameanza kukata tamaa na wameanza kuhamishia nguvu kwa Geraldine, hivi kweli Geraldine nae ni mshiriki wa kulinganisha na washiriki wengine?
Kelvin alihisi kwamba Eliza anampenda, na alihisi angekubaliwa na hatimaye akatangaza kwenye diary session kwamba karibu ata-win. Baada ya Eliza kubadilisha kibao, naona Kelvin amepoteza game, kashikwa na aibu sasa saa zote anambembeleza Eliza.
Dada yetu nae hataki mchezo ni mkali kama pilipili, hataki hata kuguswa wala hataki mambo ya kufunikwa kana kwamba yeye mgonjwa.
Matokeo yake ndio hayo. Nimesikitika sana, maana wote wawili wameonyesha hawajakomaa. Kelvin hataki kukubali kushindwa, dada yangu nae hataki kuonyesha ukomavu wa majibu ya kistaarab ikitokea ametongozwa. Mbona karibu wasichana wote humo ndani wametongozwa na wamekataa na walitoa majibu kwa ustaarab bila hata kuonyesha kwamba wamechukia ama hawataki kuwa close na walio watongoza, na pia watongozaji nao walijikata kimya kimya wakakubali kushindwa. Sasa hao wote wamekutana hawajakomaa.
Yaani as if you were reading my mind....Eliza sijui ni ushamba au nini but i don't think she went into that house with a strategy kama wengine wanavyoonyesha!!!She is not fun and she is taking things too seriously nahisi huyo boyfreind wake mzungu alimuambia ukiguswa tu na mwanaume nakuacha!!!! anadhani huyo kevin hana girlfreind kwao? dah!!!! she is so dumb!!!!mwanzoni i thought she was kool n all lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda i think she should just pack and leave......anadhani kukatika viuno kutamletea votes?
I'm not advocating that she does something immoral or anything lakini angeacha kujisikia and play the game......mimi ningekuwa Kevin for one week ningemuignore kabisaaaaaaaaa....nione atafanya nini she really gets on my nerves eish!!!!!
......Elizabeth = ice queen halafu she is not even all that....sijui kwa nini watu kama akina Jokate hawakujitokeza for this competition.......
The whole coupling thing totally messed up BB... In all respects, one of the couple falls a victim of the other!!! Totally unfair and disgusting
i saw the Botswana guy leaving the house simply because of the couple!!! Just imagine where Kristal would be without that white DJ
Aaaarrrghhhhhhhh!!
The whole coupling thing totally messed up BB... In all respects, one of the couple falls a victim of the other!!! Totally unfair and disgusting
i saw the Botswana guy leaving the house simply because of the couple!!! Just imagine where Kristal would be without that white DJ
Aaaarrrghhhhhhhh!!
Umenena mkuu lakini ukweli ni kuwa Eliza na Kelvin hawana wa kumlaumu wote wamechemsha, hata marafiki zao walishajua kuwa Eliza kachemsha ndio maana ilibidi aingizwe kwenye possible eviction, maana wanajua atakayeingia naye atapona tu. Anyway tuendelee kupiga kura tu labda tunaweza tukafanya maajabu.
Yaani as if you were reading my mind....Eliza sijui ni ushamba au nini but i don't think she went into that house with a strategy kama wengine wanavyoonyesha!!!She is not fun and she is taking things too seriously nahisi huyo boyfreind wake mzungu alimuambia ukiguswa tu na mwanaume nakuacha!!!! anadhani huyo kevin hana girlfreind kwao? dah!!!! she is so dumb!!!!mwanzoni i thought she was kool n all lakini kadiri siku zinavyozidi kwenda i think she should just pack and leave......anadhani kukatika viuno kutamletea votes?
I'm not advocating that she does something immoral or anything lakini angeacha kujisikia and play the game......mimi ningekuwa Kevin for one week ningemuignore kabisaaaaaaaaa....nione atafanya nini she really gets on my nerves eish!!!!!
......Elizabeth = ice queen halafu she is not even all that....sijui kwa nini watu kama akina Jokate hawakujitokeza for this competition.......
Mkuu ina maana umeishakata tamaa tayari?
Naona wabongo tumeshakata tamaa
Mkuu ina maana umeishakata tamaa tayari?
mimi hapana jua wala ona nini BB naendelea so no comment imekula kwangu...