Big Brother Africa 2009: The Revolution

Nilishatoa ushauri hapo awali kuwa huyu binti anaweza kuwa ana matatizo ya akili, hivyo ni vizuri wataalamu wa psychology wampe ushauri.

Hili ameridhihirisha kwenye interview yake ya kutoka na kitendo cha kumrushia Molotov Cocktail Kelvin.
 
Je, ni kweli kwamba Tanzania ni wasindikizaji katika kila mashindano??!

Nope.
We actually have had it pretty good in that house (BBA).
Over the years,Tznians have been the poster kids of the show so,no...sio wasindikizaji,not in BBA i.e.
Oh well,except when Kaka K is involved...
 
Bahati mbaya anatoka nchi pekee yenye mgao africa, tulishindwa kumsupport to much problems kuanza kufikiria bba
 
mwacheni arudi kupambana na mafisadi wattoto wakina sophia simba
 
nakumbuka alimwa mbia Kevin, kuna kitu kibaya sana kilimtokea siku chache kabla ya kuingia jumbani, pengine aliingia mle akiwa pychologically not fit...afadhali arudi apumzike jamani

kajitahidi sana hata hivyo kufikia alipofikia, wapo wengi walioondoka kabla yake kuliko wale watakaoondoka baada yake

welcome home Elizabeth, relax, that is the game....
 
Nafikiri watanzania walichoka kupiga kura...mana hata huyo alieshinda ameishia kukimbizana na wakina wema sepetua..aunt ezekiel na kutishia uhai wa ndoa yake...sembuse huyu mwanamke sijui angezifanyieaje hizo hela...waandishi tumuulize dadaetu atusaidie hili swali
 
kaka K??? ndo nini?

Kwasababu ulikuwa hufuatilii hili ile post ya 6 spetember kwani hiyo post ipo live toka wakati ule inajadili kila siku hatu kwa ahtu jambo linalotokea ndio maana humjui kaka K. Nenda kule utaona historia full na sababu za huyo mdada kutolea hakuna anayelalamika hapa kwa tuliokuwa tunaona tulisha jua atatoka kwani alishchemsha siku nyingi sana, hata kufikia wiki hii ni bahati tu.
 

Sidhani kitu kilichomtokea kabla hajaingia inaweza kuwa sababu, lakini nahisi kuwa huyu mtoto ana matatizo ya malezi na makuzi yake, kwa hiyo ni kitu kilicho kwenye damu yake. Ingekuwa ni suala lililotekea sasa wakati anaingia angekuwa anarudi kwenye sense zake wakati fulani, lakini kwa vile ukimwangalia akitoka nje ya mstari anakuwa moja kwa moja huko wala harudi tena, hii inaonyesha kuwa amekuwa na effect ya muda mrefu kwa hiyo nadhani wazazi wake wanahitaji kumpeleka huyu mtoto kwa wataalam atakuwa na tatizo la mahusiano linalotokana na matatizo ya muda mrefu.

Kwa mfano alipompiga Kelvin na mateke kwasababu amemgusa ilikuwa kama mtoto wa chini ya miaka 6 hivi, kwa umri wake jinsi alivyokuwa nareact ilikuwa ni tofauti kabisa. Next time Multi choice (TZ) wanatakiwa kuwa makini zaidi na uchaguaji wa wawakilishi.
 
Kevin analia tu,hakutegemea kama Eliza atatoka
 

Pamoja mkuu, dada yetu akija aende muhimbili direct wakamcheki akili.
 
Pamoja mkuu, dada yetu akija aende muhimbili direct wakamcheki akili.


ha ha haaaaa....
mkuu hii kali!!!

Ila kusema kweli huyu binti noma yani kama Asha ngedere wa Zekomedi!....
Akiwasha moto ndo hauzimiki!

Come home Eliza hatuna jinsi wewe bado ni wetu tu...karibu
 
Jamani Eliza sikutegemea kama angetoka wiki hii ingawa upepo ulikuwa unamwueleleza. Mwanzoni alipoingia BBA kwa kweli nilimpa credits nyingi na nadhani hata watu wengine walimkubali but nadhani alivyoendelea kuishi mle ndivyo alivyoonyesha her true colors. Ingawa ametoka but at least amedhihirisha kuwa she was successful in living the real life not artificial one kwa sababu kama angepretend tusingeuona uinsane wake ati!!
 
ha ha haaaaa....
mkuu hii kali!!!

Ila kusema kweli huyu binti noma yani kama Asha ngedere wa Zekomedi!....
Akiwasha moto ndo hauzimiki!

Come home Eliza hatuna jinsi wewe bado ni wetu tu...karibu


Yule ni mmachame pure, atakuwa anamdunda kevin wakioana na jamaa mwenyewe analia lia vile mh? atapewa za uso na chakula cha usiku atakipata kwa manati sana mpaka arefuke mimi Eliza simzii hata kidogo hajatulia pia naulewa mdogo sana wa mambo. anjua kuema kila dakika u know wora m sayin u understand....u understand...
 

hahaha Kumbe wamachame noma
 
Ukipanda bange huwezi kuvuna majani ya kunde...
Haya arudi home aje aweke kiuno chini atulie
 

kweli wabongo tunapenda sana chuki! yaani mnamwombea ndugu yenu mabaya...eti mlijua atatoka...eti hata kufika wiki hii ni bahati...je ungekuwa wewe ungefika hapo alipofika yeye? kaka K kitu gani wewe.....aaagr...kama ulijua mwenendo wake sio fresh kwa nini uliweka maneno haya katika profile yako? "Elizabeth Gupta - BBA Revolution, Mwaka huu ni wetu pia"
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…