http://beta.mnet.co.za/mnetvideo/browseVideo.aspx?vid=17791Mkuu unamaanisha ni Kristal kaongea hayo?
Duh!
Aaaaanyway, Gupta in the HOUSE!, Yuko very motivated!..and She has The DRIVE!...
Starehe hizi!, hivi kuna sehemu naweza watch Hii Kitu Live, yaani muda wowote nikitaka!? Instead ya Recorded bits!?,
B.
Kwa upande wa Nyumbani Advantage aliyonayo Elizabeth anatokea Media House, kwa hiyo vyomb vya habari vitamuuza vizuri, maana si unajua kupigana tafu kesho utashangaa media zitakapotoka na vichwa vya habari vizuri sana juu ya Elizabeth.
Mkuu hakuna sehemu ya Free online channel kwa hiyo huna namna kama upo hme lamba DSTV
Dah, Hapa nilipo MATOMBO!, DStv Hakuna Mtu wangu,
B.
Hahaha, mi nikashangaa au hapa naangalia vibaya, manake mhhh, si kawaida mkuu...Ha ha ha Nilikuwa naogopa kusema, maana akikaa mtu kufuli nje nje nadhani wanasahau kuwa kuna watu tunawaangalia nje.
Hahaha, mi nikashangaa au hapa naangalia vibaya, manake mhhh, si kawaida mkuu...
Lakini najua wanajidanganya kuwa wanaoangaliwa kwa sasa ni boys kumbe nao wanaangaliwa. Wakiingia kwenye swimming pool wanadhani hawaonekani, wanavua as if hawako kwenye camera... Hivi tangu zamani ndo hivi au? Manake mi mwenzi wangu ndo kanishauri niangalie this time ili nijue undani wa shindano
Hahaha, mi nikashangaa au hapa naangalia vibaya, manake mhhh, si kawaida mkuu...
Wakiingia kwenye swimming pool wanadhani hawaonekani, wanavua as if hawako kwenye camera... Hivi tangu zamani ndo hivi au?
Mkuu hapa unajitetea tu unataka kusema kabla ya kujiunga na hiyo club ulikua huangalii bba? acha bana
Kila kitu lazima kuwe na kitu cha kukufanya ukifahamu, hata mimi nilianza kuangalia hii kitu baada ya watoto wa rafiki yangu kunishwishi, maana kila nikikutana nao utasikia, Uncle did you see Mwisho today??? tulikuwa ugenini na ilikuwa kupata radha ya nyumbani basi tumzungumzie mwisho.
Haya mkuu ila Invisible na wasiwasi nae anataka kujitetea... Kidding mkuu.Namtakia Liz all the best atuletee hizo hela nyumbani
Mbogela, unaona mabinti wanavyovaa kimtego?
Wana vituko si kawaida, makeke yao yataisha wakikutanishwa na wanaume
Mbogela umepata majibu toka MNET? Maana ulisema unawaandikia kuuliza kama tunaweza kuwapata online live. Mwaka jana niliwahi kuwasiliana nao walinijibu kwamba bado hawajawa na huduma kama hiyo, the only way ya kufuatilia ni kuangalia hivyo vi-clips. Lazima tutakuwa tuna-miss flow ya conversation kwa kuwa jamaa wa MNET wana upload clips zinazowafurahisha wao wenyewe.