MawazoMatatu
JF-Expert Member
- Sep 6, 2008
- 505
- 63
Ninahisi huyu mtoto ana matatizo ya maruhani ya hisia za mapenzi (huwa anasisimka kirahisi sana), kwanini huwa anaogopa kuguswa? Ukichunguza sehemu nyingi wanazogombana, chanzo kinaweza kuwa Kelvin kutaka kuongea na mtoto huku akiwa ana mshika mshika ama akiwa anamsogelea, kitu ambacho kwa marafiki wa opposite sex na kwenye jumba kama hilo ni cha kawaida sana, hata kama hakuna mahusiano ya kimapenzi. Kweli ukiwa kwenye hayo mazingira unaweza ku-avoid kuguswa completely na rafiki yako?
JEMMA wanasema ana "sexual tension" (whatever that phrase means), nahisi mtoto mambo yake huwa yako jirani sana na ndio maana anaogopa sana kuguswa guswa kwa kuwa anaweza kuanguka kirahisi sana.
Mkuu Keil nimekubali wewe ni mchambuzi wa hii reality show itabidi utafute kazi kwenye TV! hahaha yani yawezekana ni kweli tupu! Hii nafkiri ni defensive mechanism ya dada yetu maana anajijua ni dhaifu kwenye hiyo idara!