Big Brother Africa 2009: The Revolution

Big Brother Africa 2009: The Revolution

Nimeona kwenye magazeti ya UDAKU kuwa Bi. Elizabeth anatua leo nchini. Sijui kama Multichoice wametangaza watu waende kumpokea,
1. kauli yake ya kusema hawezi kutoka na weusi imempunguzia umaarufu sana.
2. Wakati anasettle apitie sehemu ambako kuna summary ya kilichokuwa kinaendelea ndani na maoni ya washabiki. (Obama in maoni mengi mno) lakini nadhani angesoma hii thread ingemsaidia kujua lini alianza kumess up.
3. Mult chioice wampe breefing hasa namna atakavyo react kwenye maswali mbali kutoka media na watu mbali mbali (Hili la ubaguzi, la maisha binafsi kama kukosa elimu, kulia lia, kama ana tatizo la akili, jambo lililomtokea kabla hajaingia alibakwa? ana Mimba?)
4. Ajiandae kuikabili dunia kwa mtindo tofauti, atambue kuwa sasa si yeye yule aliyeingia ndani miezi miwili iliyopita, sasa hivi kuna mabazazi wengi watataka kujionjesha, Pia kutakuwa na deal za maana na feki za maisha.
5. Aamue mara moja anataka kuwa nani? cereblity au kufanikiwa kimya kimya na atafute njia itakayomfikisha kwenye hayo malengo.

Kwa ujumla tuna mkaribisha home, alikuwa na nafasi kubwa sana ya kushinda huu mlungura angebaki kama alivyoingia. Binafsi namlaumu sana Kelvin kwa uking'ang'anizi wake, bila yeye haya yote yasingemfika huyu mtoto.
 
Nimeona kwenye magazeti ya UDAKU kuwa Bi. Elizabeth anatua leo nchini. Sijui kama Multichoice wametangaza watu waende kumpokea,
1. kauli yake ya kusema hawezi kutoka na weusi imempunguzia umaarufu sana.
2. Wakati anasettle apitie sehemu ambako kuna summary ya kilichokuwa kinaendelea ndani na maoni ya washabiki. (Obama in maoni mengi mno) lakini nadhani angesoma hii thread ingemsaidia kujua lini alianza kumess up.
3. Mult chioice wampe breefing hasa namna atakavyo react kwenye maswali mbali kutoka media na watu mbali mbali (Hili la ubaguzi, la maisha binafsi kama kukosa elimu, kulia lia, kama ana tatizo la akili, jambo lililomtokea kabla hajaingia alibakwa? ana Mimba?)
4. Ajiandae kuikabili dunia kwa mtindo tofauti, atambue kuwa sasa si yeye yule aliyeingia ndani miezi miwili iliyopita, sasa hivi kuna mabazazi wengi watataka kujionjesha, Pia kutakuwa na deal za maana na feki za maisha.
5. Aamue mara moja anataka kuwa nani? cereblity au kufanikiwa kimya kimya na atafute njia itakayomfikisha kwenye hayo malengo.

Kwa ujumla tuna mkaribisha home, alikuwa na nafasi kubwa sana ya kushinda huu mlungura angebaki kama alivyoingia. Binafsi namlaumu sana Kelvin kwa uking'ang'anizi wake, bila yeye haya yote yasingemfika huyu mtoto.
.....Nakubaliana na wewe in everything except lawama kwa Kevin!!!! It's not his fault if she is nuts!!!! Angekuwa mjanja....angemtumia sana Kevin to her advantage..mind you im not saying angelala nae ila she could have been understanding!!! Wanawake tunatongozwa kila siku its not an issue...the issue is the way you handle these advances from men. Kumkatalia Kevin uhusiano did not mean she had to be rude to him, not want him to touch her etc mbona yeye alikuwa anajipa uhuru wa kumgusa Kevin, kuvaa nguo zake nk? In short she was just CONFUSED!!! kuna mtu alisema she could not trust herself with Kevin fearing kwamba had she let him very close ukweli kwamba anampenda ungedhihirika na bf wa kizungu from a rich family angemdump!!!! I think its also fair to say ucomrade in arms na Kevin ulimsaidia sana and thats actually what kept her in mpaka sasa......these r my personal views....i could be wrong but i think im right 🙂
 
Naweza kusema kevin kamponza sanaELIZA WETU.Sikupenda tabia yake ya ung'ang'anizi hata kidogo.kama mwanaume ilibidi aelewe NO NI NO.Lakini kevin hakutaka kuelewa hilo nahsi nae alikuwa akimuogopa Eliza kuwa anaweza kuchukua mshiko ndio mana akaamua kumsumbua mara kwa mara.Kila la kheri Eliza na mungu akutangulie huko uraiani tz naamini nitaendelea kukuona kwenye vuna vuna time kama bado ipo
 
Tusimuonee sana Kelvin, na dada yetu nae alichangia kwa kiasi fulani kumfanya kijana awe king'ang'anizi. Kelvin hawezi kuwa mjinga kiasi kwamba aende kutangaza kwenye diary session kwamba, "he is almost there" bila ya kuwa na signal.

Eliza anasema amemwambia Kelvin mambo mengi sana ambayo hata best friend wa Eliza hayajui. Eliza amezuia Kelvin asipate msg kutoka nyumbani badala yake Eliza ndiyo atapeleka msg kwa dada zake Kelvin kwa kuwa ana namba zao za simu. Jamani, urafiki wa kawaida mpaka mnakwenda kupeana details za familia na kuambizana mambo ambayo "best friend" hayajui?

Mtazamo wangu ni huu, Eliza alikuwa "sitaki nataka", jibu lake la NO halikuwa firm kwa kuwa bado alikuwa anaonyesha signals za kutaka kuendelea kuwa close na Kelvin. Alifanya hivyo kwa makusudi ili aendelee kumtumia Kelvin kwa kuwa ndiyo housemate pekee ambaye alikuwa yuko close nae.

Iwapo angesema NO ambayo iko firm, alihisi may be kijana nae angeanza kum-avoid kama housemates wengine na hivyo kujiweka kwenye mazingira magumu sana. Iwapo angesema YES, Kelvin lazima angetaka zile kumbikumbi style kama JEMMA, ikiwa ni pamoja na kula denda na ku-have some wakiwa ndani ya Jumba na msichana hakutaka hayo yatokee.

Kwa jinsi Eliza alivyomsifia Kelvin siku ya eviction, Kelvin akiamua kumfuatilia Eliza nje ya BB (huku mtaani) ninashawika kusema anaweza akafanikiwa.

Kuna viashiria ambavyo vinaacha maswali mengi:

Kwanini Eliza alilia siku alipoambiwa na Kelvin kwamba, "kama Eliza kazowea ku-date wazungu, basi urafiki wao usingefika popote". Je, ulikuwa ni urafiki gani ambao alikuwa ana u-refer? Urafiki wa kawaida na ku-date vina uhusiano gani?

Siku Kelvin alipom-kiss Paloma, Eliza alimhoji kwamba kwanini alifanya hivyo kama yeye (Kelvin) hakuwa anajisikia kufanya kitu hicho? Kwani angegoma wangemfanya nini? Lakini it was just a game, but Eliza took it so serious.

Same Eliza siku nyingine kukawa na mchezo mwingine, alipaka something kwenye nipples za Kelvin na akazinyonya. Kweli kwa mtu ambaye unasema humtaki, unaweza kumnyonya nipples?

Sioni sababu ya kumbebesha Kelvin mzigo wote wa lawama, dada yetu naye anastahili sehemu ya hiyo lawama. Hakuwa firm kwenye jibu lake la NO. NO yake ilikuwa ni ile ya hesabu za logic kwamba NO + NO = YES!
 
Naweza kusema kevin kamponza sanaELIZA WETU. Sikupenda tabia yake ya ung'ang'anizi hata kidogo. kama mwanaume ilibidi aelewe NO NI NO. Lakini kevin hakutaka kuelewa hilo nahsi nae alikuwa akimuogopa Eliza kuwa anaweza kuchukua mshiko ndio mana akaamua kumsumbua mara kwa mara. Kila la kheri Eliza na mungu akutangulie huko uraiani tz naamini nitaendelea kukuona kwenye vuna vuna time kama bado ipo

Hapo kwenye bold ninapingana na wewe kwa nguvu zote. Siku zote Kelvin ukimuuliza who is a threat to him, atakujibu ni Eddie. Sasa hivi huyo pekee ndiyo anamnyima usingizi tangu walipotoka akina K1, Quinn na Hannington. Eliza wala hakuwa kwenye orodha ta housemates ambao ni threat kwa Kelvin.

Kama alitaka atoke, unadhani kwanini alilia? Hivi kweli unaweza kufanikiwa kumtoa mbaya wako na ukalia badala ya kushangilia kwamba ushindi unanukia? Kuanzia J2 usiku mpaka J3 nzima, Kelvin hakuwa yule ambaye watu wamemzowea, alikuwa ni mwingine kabisa.
 
.....Nakubaliana na wewe in everything except lawama kwa Kevin!!!! It's not his fault if she is nuts!!!! Angekuwa mjanja....angemtumia sana Kevin to her advantage..mind you im not saying angelala nae ila she could have been understanding!!! Wanawake tunatongozwa kila siku its not an issue...the issue is the way you handle these advances from men. Kumkatalia Kevin uhusiano did not mean she had to be rude to him, not want him to touch her etc mbona yeye alikuwa anajipa uhuru wa kumgusa Kevin, kuvaa nguo zake nk? In short she was just CONFUSED!!! kuna mtu alisema she could not trust herself with Kevin fearing kwamba had she let him very close ukweli kwamba anampenda ungedhihirika na bf wa kizungu from a rich family angemdump!!!! I think its also fair to say ucomrade in arms na Kevin ulimsaidia sana and thats actually what kept her in mpaka sasa......these r my personal views....i could be wrong but i think im right 🙂

Mkuu hapa niko na wewe kwa 100%! You are very right. Uliposema she was CONFUSED umeniua, this is the right word ya kumwelezea Eliza. Hakujua anataka nini na afanye nini. Anamtaka Kelvin kwa ajili ya survival yake humo ndani lakini at the same time anaogopa akiwa close sana na kijana mambo yangeharibika.
 
acheni kuua kwani wamachame tu ndo wana ukali ule? Wakina Mura je?
 
Mkuu hapa niko na wewe kwa 100%! You are very right. Uliposema she was CONFUSED umeniua, this is the right word ya kumwelezea Eliza. Hakujua anataka nini na afanye nini. Anamtaka Kelvin kwa ajili ya survival yake humo ndani lakini at the same time anaogopa akiwa close sana na kijana mambo yangeharibika.
........yaani sometimes i wish i was younger or that during my time this bb thing was around...i could have tried it out hehehehe...who knows maybe..................🙂
 
ha ha haaaaa....
mkuu hii kali!!!

Ila kusema kweli huyu binti noma yani kama Asha ngedere wa Zekomedi!....
Akiwasha moto ndo hauzimiki!

Come home Eliza hatuna jinsi wewe bado ni wetu tu...karibu
ha ha haaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa
 
Wakuu nipo pamoja na nyie, sasa hivi tunapoelekea Final mchezo ndio mtamu, sasa hivi nafanya utaratibu wa kupata likizo ili wiki mbili za mwisho niwe kenye Luninga angalau masaa 18, nikilala masaa 4 itatosha, Keil ile issue ya kwa akina K1 bado nakumbuka mkuu wangu, ukipata muda niPM maswali muhimu nikutumie majibu.
 
........yaani sometimes i wish i was younger or that during my time this bb thing was around...i could have tried it out hehehehe...who knows maybe..................🙂

Tutaomba BBA ya wakubwa then utatuwakilisha😉
 
lile lilikuwa ni game tu ambalo kama angekuwa mjanja angeweza kuwa karibu na kijana mnaija na bado asifanye nae malav, kwani binti kuwa karibu na dume ndio lazima ulambwe, huyo alikuwa hana lolote na wala sio kwa faida ya watanzania ila kwa faida yake mwenyewe na huyo cheupe dawa wake. Badala ya kucheza game ushinde then kila kitu uache hapo unang'ang'ania kulialia na kujifanya matawi ya juu, mara oohh Kelvin usiniguse, wakati wewe unampiga mateke na kumgusa kila mara, tena oohh mimi sijawahi kuwa na dume jeusi wakati watu hao weusi ndio wanakupigia kura ili ubaki mjengoni, midemu mingine bwana.... aahhhh inatia aibu then inatoka kifua mbele eti nimetunza heshima ya tanzania..... nani kakuambia na wakati watz siku hizi hadi kwenye bajaji mwendo mdundo...shauri yako.. we kodoa tuuu...!!!!!!1
 
lile lilikuwa ni game tu ambalo kama angekuwa mjanja angeweza kuwa karibu na kijana mnaija na bado asifanye nae malav, kwani binti kuwa karibu na dume ndio lazima ulambwe, huyo alikuwa hana lolote na wala sio kwa faida ya watanzania ila kwa faida yake mwenyewe na huyo cheupe dawa wake. Badala ya kucheza game ushinde then kila kitu uache hapo unang'ang'ania kulialia na kujifanya matawi ya juu, mara oohh Kelvin usiniguse, wakati wewe unampiga mateke na kumgusa kila mara, tena oohh mimi sijawahi kuwa na dume jeusi wakati watu hao weusi ndio wanakupigia kura ili ubaki mjengoni, midemu mingine bwana.... aahhhh inatia aibu then inatoka kifua mbele eti nimetunza heshima ya tanzania..... nani kakuambia na wakati watz siku hizi hadi kwenye bajaji mwendo mdundo...shauri yako.. we kodoa tuuu...!!!!!!1

Mkuu naona una hasira naye???? Wakikuletea karibu utamnanga ile mbaya.
Kwa ujumla Mwalimu JKN alisema kama mu anachukia kubaguliwa na anaona sio vizuri kubaguliwa kwa misingi ya kidini, kikabila, rangi, jinsia au msingi wowote ule basi hana budi kuchukia kubagua pia. Na huu ndio umekuwa msingi wa watanzania wote, siku zote tunaamini binadamu wote ni sawa na Africa ni moja.

Africa ina rangi nyingi, akaina ghadafi, Makaburu, akana Jeetu Petel, hao wote ni waafrica na wataheshimika kama binadamu. Dada angeijengea Tanzania kuonyesha kuwa Tanzania kamwe sio wabaguzi wa rangi, angeijengea Tanzania heshima kuonyesha kuwa wanawake wa Tanzania hawapo kama Paloma kujisifu na kujifanya wanajua kila jambo,

alikuwa na uwezo mzuri wa kujibu maswali lakini alishindwa kucontrol emotion, na kucontrol emotion ni moja ya sifa ya watanzania, popote ulimwenguni wanaposoma watz huwezi kusikia ni wabishi mpaka watu wanchoka kuwasikiliza, daima watanzania huwa wanapendwa kweye group discussion (pamoja na ubovu wa kizungu chetu) kwani huwa tunaonyesha kujali michango ya wengine.

Kucontrol emotion na feeling zetu ndio zimetufanya tusiwe na maandamano ya kuchomeana nyumba, ya kuvunjiana maduka, kwani una torelance level kubwa. Kwenye hili alishindwa. Ukihesabu alilia mara ngapi? kwasababu zipi? utashangaa, wakati mwingine kama siku ile alivyomfyatukia Itai, that was too much kwa mtoto wa kike, kwanza pale alitakiwa kujua kuwa haikufaa kufanya vile kwani kiongozi wa alliance ya women power Poloma alishatoka, kwa mjanja angejua kama Paloma alikuwa anapigania kuwa wanawake mwaka huu wachukue pesa na ametolewa alitakiwa kushtuka kuwa hiyo ajenda haiuziki huko nje.

Ukiwa ndani ya lile jumba na ukaweza kuwasoma washiriki wezako vizuri, ukakukbuka kila siku nini kimetokea kwanani na nani, kila wanapotoka unaweza kabisa kujua nini kinawauzi watu wa nje, unauwezo kabisa wa kujua mwenendo wa wapiga kura, ila mradi usiwe wa kwanza kutoka.
 
Anonymous said...
Naendelea na post yangu hapo juu mana nimeona itakuwa ndefu, Sasa Richard wasimuige kwa kwenda kulipukalipuka tu kule ndani watu awapendi kabisa izo tabia, Richard ile ilikuwa inaleta msuguano mkubwa huku nje lakini kwakuwa alikuwa the biggest entertainer of that show mabaya yake yote yalikuwa yanafunikwa na jinsi alivyokuwa fun..ndo mana Tatiana aliitwa 'a lady with the heart of gold'.. mana Richard alikuwa na mauzi ya kufa mtu lakini Tatiana alikuwa anasamehe, lakini pia kwa kuwa Richard anajua kubembeleza acha tu mpaka waume zetu walibadilika kipindi icho.. nachotaka kusema hapa mabaya ya Richard yalikuwa overpowered na jinsi alivyokuwa fun..na Richard uache kuongelea san ulivokuwa unawalipukia wenzio nafikiri viumbe wengine wana upeo mdogo na kubeba kama yalivo ayo mambo..sasa Elzabt kugombana kote kule huku hana sifa nyingine yoyote kubwa ambayo watu wangeoverlook iyo wakness it was a dissapointment to speak the truth, mfano ugomvi wake na Itai, Itai huku nje tunaofuatilia tulishamuona ni snake na mimi nilisema kweli Elzbt ana haki ya kuchukia mana itai alijifanya rafik wa kevn alafu akamswap...Lalkin Elzbt that day ailizidisha sanasana sasa ukichanganya na ya kina hannington uko nyuma ailjivurugia na kupoteza fans zaid! Richard aligombana na max uku nje tulikuwa tunaona kabisa max alivokuwa mchokoz..,, viewers wanaona pia huna haja sana wewe ya kutaka kumuadhibu mtu mule ndani kwa mikono yako mana ilivokuwa alikuwa anamtishia Itai ikibid amsogelee it was so not ladishy at all my dear...nahisi sana alikuwa anataka kumuiga Richard..lakin alizidisha..alafu kama alivosema kaka hapo juu kulikuwa na namna ya kumkataa kevin jamani si vile! imagine Geradine kamshinda mana ametakwa amekataa lakini hajaonyesha kuwa so vocal, kaone kamshika ger.. nywele..mikono without a problem na kakataliwa.. yeye alikuwa akiguswa na kevin..sijui nisemeje mana hata mabikira sizan kama wanafanya ivo...anyaway it was good for her..anasema ndo alivo but hii show haiitaji watu wa ivo..imefika wakati waache watu wanaozitaka kweli pesa waende mana wanawazibia wengine kuna wakati wanajifanya hawaziitaji izo pesa alisema alipogombana na itai amsogelee hajali kuondoka..cammon...huyu dada kevin alimuokoa walivopair..kamwe asingefika leo...! wanafanya tuboreke ata kuangalia show tukiwa atuna mshiriki mapema kabisa..imagine latoya alivoenda kulala makusudi atolewe..alaf cjui alizan bb ni ngono tu mana na yeye alienda kwa kuumiza hovyo tu feelings za watu! waganda wangempaje kura baaada ya kumfanyia vile morris...mnet pliz pelekeni watu ambao wako serious na muwaelimishe pia mi nahisi sana watz bado awajauelewa huu mchezo, bigup kwa mwisho na Richard kwa kweli walijitahidi, na hapa namaanisha kutoka mapema kwa makusudi mtu akitoka mapema bahati mbaya utajua tu kwa mazingira ya huu mchezo mana sometime mazingira yanaforce, kama mage wa zambia she was good, Queen wa sa... yani wanaoenda sasaivi wana advatage ya kutumia mapugufu ya watu wa nyuma but hawatumii this is boring for our representatives..
Hapo elzbt sijagusia suala la wanaume weusi na weupe lililofanya apoteze sana fans pia...was it alow IQ with her or what..cjui kwa kweli..nimeongea kwa urefu hapa kwa kuwa kule kwa kulinda uzalendo tulikuwa hatuthubutu kumuongela vibaya..lakini watu walikuwa wanampaka vibaya, so tunayavua yulokuwa nayo huku hii ni kwa kwa yule aliesema wenzetu hawawdis watu wao hata sisi hatufanyi ivo, imagine last wk dina aliposema ana waswas watu walimtia moyo lakini kikubwa nafikir na yeye ni mtu anaefuatilia huu mchezo vzr mpaka kwenye net na comments za watu wanasemaje uko kwingine, mi nilitaka kumment ile wk nikaacha tu but ilionyesha waz kabs elzt ndo wa kutoka, zile polls zilikuwa vile mana wanigeria walikuwa wanavote sana but unapokuja kwenye suala la nchi na nchi ni tofauti

Nimeitoa kwa Dina Marios: http://dinamarios.blogspot.com/2009/11/bba4elizabeth-gupta-ametokasina-la.html#comments
 
Date::11/12/2009
Mshiriki wa Big Brother adai Watanzania wamemwangusha

Na Vicky Kimaro

MSHIRIKI wa Big Brother Revolution, Elizabeth Gupta amewalawahumu Watanzania kwa kushindwa kumpigia kura za kumbakiza ndani ya jumba hilo ambalo mshindi atajinyakulia kitita cha dola 200,000.

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Elizabeth alisema kuwa nchi tano zilimpigia kura, lakini Tanzania ilimuangusha kwa vile mashindano hayo wanaangalia zaidi kura zinazopigwa nchini mwako.

"Uganda, Kenya walinipigia, lakini Tanzania kura zilikuwa chache, halafu mashindano ya mwaka huu ni magumu tofauti na miaka mitatu iliyopita, safari hii washiriki ni 25 sheria zimebadilika," alisema. Elizabeth aliongeza hakuwa na uhusiano na mshiriki mwenzake Kelvin wa Nigeria na kudai kuwa urafiki wao utabaki kuwa wa kawaida na si vinginevyo.

Eliza alisema "Kuishi na watu kazi sana kila mtu ana tabia zake, ukizingatia hakuna mawasiliano mimi sikuwa naigiza ndio tabia yangu ilivyo, lakini wapo ambao wanaigiza ingawa wote lengo letu ni kusaka fedha.

Akizungumzia minong'ono inayodaiwa kuwa yeye ni mjamzito au kabakwa alisema "ni kitu kinachoniuzunisha sana uwa kinaniliza kwa kuwa sikupata muda wa kusikilizwa, ingawa mimi nilisikiliza:

"Kubakwa si siri ila ni kitu kibaya kinauzunisha, na mimba pia si siri kwani uwezi kuifika kwa sababu itakuja kuonekana, nilitaka niiseme siri inayoniumiza nikiwa BBA nikijua watazamaji watanisikia, lakini sikuweza kusema, kwa sasa bado iache iwe siri ipo siku nikijisikia kusema nitaisema.

Source: Mwnanchi
 
Date::11/12/2009
Mshiriki wa Big Brother adai Watanzania wamemwangusha
Anadhidi kutuudhi huyu, anajua amatuingiza hasara kiasi gani lakini?

Na Vicky Kimaro

MSHIRIKI wa Big Brother Revolution, Elizabeth Gupta amewalawahumu Watanzania kwa kushindwa kumpigia kura za kumbakiza ndani ya jumba hilo ambalo mshindi atajinyakulia kitita cha dola 200,000.
Watanzania wengi nikiwemo mimi tunamlaumu Elizabeth kwa kutuzimishia ndoto yetu ya huu mwaka wetu pia wa kulamba bingo na kuibadili kuwa huu mwaka wetu wa kuaibika tena!

Akizungumza na waandishi wa habari jana, Elizabeth alisema kuwa nchi tano zilimpigia kura, lakini Tanzania ilimuangusha kwa vile mashindano hayo wanaangalia zaidi kura zinazopigwa nchini mwako.
Atasemaje tulimwangusha wakati TZ ni miongoni mwa nchi zilizompigia kura? Hivi hajui watanzania sio wanafiki? Angeona kura alizopata Latoya angajua kuwa watanzania sio wanafiki. Pili alipata kura nyingi sana za wanigeria lakini hazijasaidia. Sikio la Kufa halisikii dawa, au Kunguru hafugiki dada yetu

"
Uganda, Kenya walinipigia, lakini Tanzania kura zilikuwa chache, .
Hata kama kura zingekuwa nyingi bado kama nchi zilizomkataa zinazidi zile zilizo mkubali angetoka tu. Pia lazima ajue kuwa kwa wateja wa DSTV africa, nchi yetu inawateja wachache sana ukilinganisha na nchi kama Bots, SA, Namibia, Zim na Nigeria, watu wanapiga kura kufuatana na kufuatilia mchezo, watu hawauoni mchezo watapigaje kura?

halafu mashindano ya mwaka huu ni magumu tofauti na miaka mitatu iliyopita, safari hii washiriki ni 25 sheria zimebadilika.
Sio kweli mashindano ya mwaka huu yalikuwa ni rahisi kuliko ya miaka mingine, 1. washiriki wa mwaka huu hawakuwa wanatofautiana sana back ground ukiondoa K1 kwa hiyo ilikuwa rahisi kujua mtu anataka kufanya nini na fanye nini 2. Waliruhusiwa kufanya alliance na ku-consipire jambo ambalo unajua kabisa move inandaje.
3. Alichokosea dada yetu kwenye hili ni kutokuwa na kichwa chake mwenyewe, Hata siku moja Liz hajafanya nomination kutokana na utashi wake siku zote alitegemea mawazo ya watu, hata kumswap Erastos lilikuwa kosa la kiufundi (kwanza alishajua kuwa mapacha ni strong condenders wanawashabiki wengi nje) alitakiwa kucheza na wapiga kura sio mahouse mate

Elizabeth aliongeza hakuwa na uhusiano na mshiriki mwenzake Kelvin wa Nigeria na kudai kuwa urafiki wao utabaki kuwa wa kawaida na si vinginevyo..
Ana mpenda sana Kelvin kinachomsumbua ni utoto na ubaguzi wake wa rangi. Shida yake (km kweli) anaamini kuwa watu weusi sio waaminifu na pia ni masikini na hii itampa shida sana, kwa hili amepunguza heshima yake aliyokuwa ajijengee kwenye jamii ya watanzania, alitakiwa kujua idadi ya watanzania weusi ni wangapi na waafrica weusi ni wangapi kabla hajaropoka, uetetezi wake kuwa amekulia kwenye mazingira ya weupe na kusoma nao haujitoshelezi bado. Sisi wengine hatujawahi kuishi na watu weupe, na tumesoma vijijini, hatujawahi kuwaona akina dada wanaoweka Dawa kichwani wala kuweka vipini kwenye ulimi (siipendi tabia hii) lakini siwezi hata siku moja nipo kwenye hadhara (nationa TV) kusema kuwa sitadate mweupe (wakati simjui) au waweka dawa wote na wavaa vipini ni malaya. Hapo unakuwa ni ushamba wangu na sio kulaumu mazingira niliyokulia. Dunia ya leo huwezi ukaa kwa watu wanao elewa ukaanza kucondemn mashoga (kwa mfano) au machangudoa, au watu watakuona huna data, lazima uone dunia inaendaje, sasa hivi kuna movement kubwa ya kudai haki kwa makundi mabli mbali ya kijamii, na yanaungwa mkono sio tu na watu wa jamii hiyo, lakini watu wengine wanaona duniani hapa kila mtu ana haki ya kuheshimiwa na kuthaminiwa utu wake, sio rangi, kabila, wala elimu aua sexuality ya mtu ndiyo inayompa heshima, bali utu wake. Na watanzania tunalijua sana hili, Binadamu wote ni sawa,

Eliza alisema "Kuishi na watu kazi sana kila mtu ana tabia zake, ukizingatia hakuna mawasiliano mimi sikuwa naigiza ndio tabia yangu ilivyo, lakini wapo ambao wanaigiza ingawa wote lengo letu ni kusaka fedha...
Nakubaliana naye kuishi na watu ni kazi hili sipingi, lakini kuishi na watu kunahitaji akili Je alitumia akili?
SIjamuelewa anaposema kulikuwa hakuna mawasiliano, anamaanisha nini? hakuna mawasiliano na dunia ya nje? lakini aliingia akijua fika kuwa hakutakuwa na mawasiliano na dunia ya nje.

Kwenye huu mchezo lazima kuwe na strategy, kila mtu anapohojiwa husema siigizi lakini ili uweze kuwa mshindi ni lazima uwe na uigizaji fulani ndani yake. Kwa mfano Gaitano (BBA I) alikuwa na nafasi nzuri sana ya kuwini lakini kwasababu ya umri alikuwa mara nyingi anajaribu kuweka busara mbele hivyo akachemsha, Mwisho mwampamba alileta mtafaruku sana alipovuta majani ya chai baada ya kuona sigalla zimeisha ndani (sio kwamba alikaukiwa kiasi hicho, hapo aliigiza) Usiku mwingine waliiba bia na kuzificha, pia waliwahi kuiba sigalla, sio kuwa walikuwa wanatabia hiyo lakini walijua kuwa viewers wanawaona na BB anawaona lakini walaitaka kuleta msisimko kwenye mchezo, Bahati mbaya mawasialiano ya lugha hayakuwa mazuri sana aliishia kushika namba 2. Ukiiangalia Kelvin na Edward kunauigizaji wa hali ya juu sana, sina uhakika Mzamo kama ile kujinafsi ni kawaida yake nahisi ameongeza mno kwa hiyo alitakiwa kubadirika kadiri mchezo unavyoenda na character wanavyotoka

Akizungumzia minong'ono inayodaiwa kuwa yeye ni mjamzito au kabakwa alisema "ni kitu kinachoniuzunisha sana uwa kinaniliza kwa kuwa sikupata muda wa kusikilizwa, ingawa mimi nilisikiliza: ...
mmmh hii sentensi tata. Lakini jinsi alivyoonekana wiki hii anavyofika afya yake inatatanisha sana, amepungua sana (sijui labda macho yangu tu) Lakini mimi sidhani kama ni jambo lilimtokea juzi juzi, mbona alikuwa mwenye amani wiki ya kwanza na ya 2? Mimi nadhani Elizabeth ana shida ya kimalezi kama alivyosema mwenyewe shule alizosoma, watu aliokuwa nao. Alipofika kule ndani alipata mshtuko wa kisaikolojia kwani ahkuzoea kufanya kazi ngumu za mikono kwa muda mrefu, hakuzoea kula na wenzake (mtoto wa kudeka deka) hakuzoea kuunda hoja na kuitetea, inawezekana ana nafasi ya kutoa amri kwenye familia. Sasa baada ya kukumbana na vikwazo kuishi kama alivyozoea kwao ili-react kwa kununa na kuwa makali kama mbogo aliyejeruhiwa. Baadaye aliwapoteza marafiki wote. Lakini ana akili sana, aliigundua hilo na ndio maana hata comrade in arm ilipoisha hakutaka kumpoteza Kelvin maana alijua maisha yatakuwa so boring, alichokosea alitakiwa kuwarudisha wenzie haraka sana. Anahitaji ushauri wa wataalam wa masuala ya kisaikolojia, lakini ni vema akamwambia mtu hilo tatizo lake maana likiwa la kudumu litamuumiza hata kumuua kabisa

"Kubakwa si siri ila ni kitu kibaya kinauzunisha, na mimba pia si siri kwani uwezi kuifika kwa sababu itakuja kuonekana, nilitaka niiseme siri inayoniumiza nikiwa BBA nikijua watazamaji watanisikia, lakini sikuweza kusema, kwa sasa bado iache iwe siri ipo siku nikijisikia kusema nitaisema
. Yeah kubakwa ni jambo zito sana, na mimba sio issue kubwa kama upo tayari, alikuwa SA ambako arbotion ni legal angeweza kuitupa kama hataki mtoto, lakini pia arbotion nayo ingem-haunt maisha yake yote. sasa kama sio kubakwa wala mimba ni nini? nadhani ni vizuri awaambie watanzania nini hicho kimskitishacho kwani tutaendelea kumpakazia kila siku jambo ambalo halifai.

Sidhani kama watanzamaji hatukumpa nafasi ya kusikilizwa, yeye hakutaka kuisema.

"Source: Mwnanchi
Asante sana kwa kutupasha

Watu wengi tunavyosema sana makosa ya Elizabeth wanadhani kuwa tunamchukia, kwa ujumla binafsi nampenda sana huyu mtoto, nimemsuport kupita kiasi huko Obama Forum na forum zingine, na ni matumaini yangu siku moja nikipata nauli nitakuja mjini nipige naye picha. Elizabeth nakukukaribisha Makete, Umetuwakilisha lakini ungeweza kufanya vizuri zaidi, maisha ndivyo yalivyo, mlango mmoja ukifunga mwingine hufunguka. Una nafasi kubwa sasa ya kutengeneza maisha, ni wewe tu kuamua uwe nani na utengeneze maisha hadi wapi. kile ulichouwa kuwa unakikosa sasa hivi utakipa, hujapa hizo dola lakini utapata pesa taratibu, TULIA!
 
Asante sana kwa kutupasha

Watu wengi tunavyosema sana makosa ya Elizabeth wanadhani kuwa tunamchukia, kwa ujumla binafsi nampenda sana huyu mtoto, nimemsuport kupita kiasi huko Obama Forum na forum zingine, na ni matumaini yangu siku moja nikipata nauli nitakuja mjini nipige naye picha. Elizabeth nakukukaribisha Makete, Umetuwakilisha lakini ungeweza kufanya vizuri zaidi, maisha ndivyo yalivyo, mlango mmoja ukifunga mwingine hufunguka. Una nafasi kubwa sasa ya kutengeneza maisha, ni wewe tu kuamua uwe nani na utengeneze maisha hadi wapi. kile ulichouwa kuwa unakikosa sasa hivi utakipa, hujapa hizo dola lakini utapata pesa taratibu, TULIA!

Asante sana Mbogela kwa uchambuzi

BTW,
Mapembelo!
ukija mjini naomba usisahau kuniletea ndosani na mapeazi....!
 
Watu wengi tunavyosema sana makosa ya Elizabeth wanadhani kuwa tunamchukia, kwa ujumla binafsi nampenda sana huyu mtoto, nimemsuport kupita kiasi huko Obama Forum na forum zingine, na ni matumaini yangu siku moja nikipata nauli nitakuja mjini nipige naye picha. Elizabeth nakukukaribisha Makete, Umetuwakilisha lakini ungeweza kufanya vizuri zaidi, maisha ndivyo yalivyo, mlango mmoja ukifunga mwingine hufunguka. Una nafasi kubwa sasa ya kutengeneza maisha, ni wewe tu kuamua uwe nani na utengeneze maisha hadi wapi. kile ulichouwa kuwa unakikosa sasa hivi utakipa, hujapa hizo dola lakini utapata pesa taratibu, TULIA!

Mbogela........! ndo maana tangia mwanzo nikasema u are BBA expert......I wish ningekuwa na that talent uliyonayo.......yaani this analyisis karibia initoe machozi.......unaeleza as if ulikuwa na share kny zile dola 200k......!

Anyway....vasamsage hao ndugu na jamaa huko Unenamwa, Bulongwa, Isupilo, Lupila.......etc! Niungane na Triplets.....please ukipata nauli widzage ni ndosa....ha!ha!ha!haaaa!

NL
 
Back
Top Bottom