Big Brother Africa 2009

Big Brother Africa 2009

JamiiForums

JF Official Account
Joined
Nov 9, 2006
Posts
6,229
Reaction score
5,285
BIG BROTHER AFRICA 2009
By Jethro


Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?

Bha Ndugu,

Kwa ufupi tu: Mchakato mzima wa Big brother Africa ndio wakaribia kuanza kwa kuwatafuta watu au vijana mahili wa kutuwakirisha esp kwa kutoka hapa kwetu Tanzania na tumekwisha ona mafanikio ya watu wawili nao ni Mwisho mwapamba na Richard na moja mwana dada kwajina Riatuu kama sijalikosea ambaye ndie alivuruga mazima big brother Africa ya mwaka jana.

Mwaka huu pia twaitaji kumchagua mtu na na hili hufanywa na wahusika wapo na twawajua sana, ila ni pale tu hao wahusika wanapokuja kutuchagulia mtu wa kutuwakirisha huko Big brother Africa kwa mwaka ata faaa au nae takuwa gozi gozi kama wa mwaka jana??

Mie kwa maoni yangu: wafuatao mmoja wao ndio nadhani angepewa kipaumbele

1:ABDULKARIM au Abdul (FROM MAISHA PLUS) kutoka Zanzibar
2:CHARLES (FROM MAISHA PLUS) kutoka Arusha
3:UPENDO (FROM MAISHA PLUS) Kutoka Mwanza

kwani hawa nilio wataja hapo juu kupitia TBC1 wananchii waliweza kuwaona na kuwatambua vyema sasa wahusika wa amue kati ya hao watatu nilio wataja mmoja aende Big brother na nina uhakika atapigiwa kura na watanzania na atashinda.

Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?
 
Last edited by a moderator:
Of which tutapendekeza tena mshindi awe Abdul from zbar?
 
BIG BROTHER AFRICA 2009
By Jethro


Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?

Bha Ndugu,

Kwa ufupi tu: Mchakato mzima wa Big brother Africa ndio wakaribia kuanza kwa kuwatafuta watu au vijana mahili wa kutuwakirisha esp kwa kutoka hapa kwetu Tanzania na tumekwisha ona mafanikio ya watu wawili nao ni Mwisho mwapamba na Richard na moja mwana dada kwajina Riatuu kama sijalikosea ambaye ndie alivuruga mazima big brother Africa ya mwaka jana.

Mwaka huu pia twaitaji kumchagua mtu na na hili hufanywa na wahusika wapo na twawajua sana, ila ni pale tu hao wahusika wanapokuja kutuchagulia mtu wa kutuwakirisha huko Big brother Africa kwa mwaka ata faaa au nae takuwa gozi gozi kama wa mwaka jana??

Mie kwa maoni yangu: wafuatao mmoja wao ndio nadhani angepewa kipaumbele

1:ABDULKARIM au Abdul (FROM MAISHA PLUS) kutoka Zanzibar
2:CHARLES (FROM MAISHA PLUS) kutoka Arusha
3:UPENDO (FROM MAISHA PLUS) Kutoka Mwanza

kwani hawa nilio wataja hapo juu kupitia TBC1 wananchii waliweza kuwaona na kuwatambua vyema sasa wahusika wa amue kati ya hao watatu nilio wataja mmoja aende Big brother na nina uhakika atapigiwa kura na watanzania na atashinda.

Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?

Haya ni matamanio yako kama Mtz LAKINI KUMBUKA watayarishaji nao wana matakwa na vigezo vyao.Nimesikia Clouds wakizungumzia kuweka kipindi maalum kitakachomshirikisha Richard( BBA 2007 winner) kuja kuzungumzia nini kitasaidia kupata wawakilishi bora.Nadhani wenye interest wasikilize na pia kufuatilia na Multi-choice- waratibu wa zoezi hili kujua wanaweza kushiriki vipi.Tukumbuke pia kuwa mwaka huu dau limeongezwa kutoka $100,000 hadi $200,000, na pia siyo lazima Tanzania ikawa na mwakilishi kwa maana kama hakuna waombaji wenye sifa, basi nchi nyingine zinaweza kutoa mshiriki zaidi ya mmoja!
Kupendekeza washiriki wa Maisha plus haisaidii sana maana siyo lazima wakaonekana wanafaa kwenye hiki kinyang'anyiro!
 
Hivi hiyo $ 100,000-200,000 wanakatwa kodi na serikali ya Tanzania au South Africa?
 
Hivi hiyo $ 100,000-200,000 wanakatwa kodi na serikali ya Tanzania au South Africa?

Mshindi wa Tanzania anayeingiza hilo pato anatakiwa kulipia kodi kama pato lingine.Nakumbuka hili lilileta majadiliano sana 2007 Richard aliposhinda $100,000, ila sikumbuki walimalizana vipi.
 
BIG BROTHER AFRICA 2009
By Jethro


Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?

Bha Ndugu,

Kwa ufupi tu: Mchakato mzima wa Big brother Africa ndio wakaribia kuanza kwa kuwatafuta watu au vijana mahili wa kutuwakirisha esp kwa kutoka hapa kwetu Tanzania na tumekwisha ona mafanikio ya watu wawili nao ni Mwisho mwapamba na Richard na moja mwana dada kwajina Riatuu kama sijalikosea ambaye ndie alivuruga mazima big brother Africa ya mwaka jana.

Mwaka huu pia twaitaji kumchagua mtu na na hili hufanywa na wahusika wapo na twawajua sana, ila ni pale tu hao wahusika wanapokuja kutuchagulia mtu wa kutuwakirisha huko Big brother Africa kwa mwaka ata faaa au nae takuwa gozi gozi kama wa mwaka jana??

Mie kwa maoni yangu: wafuatao mmoja wao ndio nadhani angepewa kipaumbele

1:ABDULKARIM au Abdul (FROM MAISHA PLUS) kutoka Zanzibar
2:CHARLES (FROM MAISHA PLUS) kutoka Arusha
3:UPENDO (FROM MAISHA PLUS) Kutoka Mwanza

kwani hawa nilio wataja hapo juu kupitia TBC1 wananchii waliweza kuwaona na kuwatambua vyema sasa wahusika wa amue kati ya hao watatu nilio wataja mmoja aende Big brother na nina uhakika atapigiwa kura na watanzania na atashinda.

Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?

Mkuu hao ulio wataja wame apply kwa ajili ya nafasi hiyo? Maana mwakilishi ana patikana kwa kuomba mkuu siyo mtu anafuatwa na kuombwa awakilishe. Pia kuna vigezo waandaaji wanavi tafuta kwa hiyo unge tafuta ni vigezo gani wana vitaka kisha uka compare na vigezo walizo nazo hao wenye majina uliyo taja juu. Tukumbuke kuwa Big Bro ni kwa Africa nzima kwa hiyo usione hawa wamependwa Tanzania basi na nchi zingine za Africa zita wapenda na kuwa pigia kura.
 
Hakuna hata mmoja anayefaa wote watachemka
 
Matangazo ya Big Brother 2009 on DSTV , moja ya vigezo ni "One who can speak English Fluently". Je hao uliowataja hii sifa wanafullfill?
 
Maisha plus kwa muda wooote ilitumika lugha ya kiswahili wakati bigbrother ni kiingereza tu je hawa kingereza kinapandaa??????. pia umri wa chini ni miaka 21 je hawa umri wao unakidhi kigezo hichooo???. Nadhani wapo vijana wengi wenye kukidhi vigezo muhimu vya kushiriki wajitokeze na wasikilize ushauri wa mshindi waBB-II clouds FM
 
BIG BROTHER AFRICA 2009
By Jethro


Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?

Bha Ndugu,

Kwa ufupi tu: Mchakato mzima wa Big brother Africa ndio wakaribia kuanza kwa kuwatafuta watu au vijana mahili wa kutuwakirisha esp kwa kutoka hapa kwetu Tanzania na tumekwisha ona mafanikio ya watu wawili nao ni Mwisho mwapamba na Richard na moja mwana dada kwajina Riatuu kama sijalikosea ambaye ndie alivuruga mazima big brother Africa ya mwaka jana.

Mwaka huu pia twaitaji kumchagua mtu na na hili hufanywa na wahusika wapo na twawajua sana, ila ni pale tu hao wahusika wanapokuja kutuchagulia mtu wa kutuwakirisha huko Big brother Africa kwa mwaka ata faaa au nae takuwa gozi gozi kama wa mwaka jana??

Mie kwa maoni yangu: wafuatao mmoja wao ndio nadhani angepewa kipaumbele

1:ABDULKARIM au Abdul (FROM MAISHA PLUS) kutoka Zanzibar
2:CHARLES (FROM MAISHA PLUS) kutoka Arusha
3:UPENDO (FROM MAISHA PLUS) Kutoka Mwanza

kwani hawa nilio wataja hapo juu kupitia TBC1 wananchii waliweza kuwaona na kuwatambua vyema sasa wahusika wa amue kati ya hao watatu nilio wataja mmoja aende Big brother na nina uhakika atapigiwa kura na watanzania na atashinda.

Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?

kwi kwi kwi kwi Mkuu vipi........hapo mazee Geeque angekutoa kwenye kinyang'anyiro chake..........kwi kwi kwi
 
Back
Top Bottom