JamiiForums
JF Official Account
- Nov 9, 2006
- 6,229
- 5,285
BIG BROTHER AFRICA 2009
By Jethro
Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?
Bha Ndugu,
Kwa ufupi tu: Mchakato mzima wa Big brother Africa ndio wakaribia kuanza kwa kuwatafuta watu au vijana mahili wa kutuwakirisha esp kwa kutoka hapa kwetu Tanzania na tumekwisha ona mafanikio ya watu wawili nao ni Mwisho mwapamba na Richard na moja mwana dada kwajina Riatuu kama sijalikosea ambaye ndie alivuruga mazima big brother Africa ya mwaka jana.
Mwaka huu pia twaitaji kumchagua mtu na na hili hufanywa na wahusika wapo na twawajua sana, ila ni pale tu hao wahusika wanapokuja kutuchagulia mtu wa kutuwakirisha huko Big brother Africa kwa mwaka ata faaa au nae takuwa gozi gozi kama wa mwaka jana??
Mie kwa maoni yangu: wafuatao mmoja wao ndio nadhani angepewa kipaumbele
1:ABDULKARIM au Abdul (FROM MAISHA PLUS) kutoka Zanzibar
2:CHARLES (FROM MAISHA PLUS) kutoka Arusha
3:UPENDO (FROM MAISHA PLUS) Kutoka Mwanza
kwani hawa nilio wataja hapo juu kupitia TBC1 wananchii waliweza kuwaona na kuwatambua vyema sasa wahusika wa amue kati ya hao watatu nilio wataja mmoja aende Big brother na nina uhakika atapigiwa kura na watanzania na atashinda.
Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?
By Jethro
Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?
Bha Ndugu,
Kwa ufupi tu: Mchakato mzima wa Big brother Africa ndio wakaribia kuanza kwa kuwatafuta watu au vijana mahili wa kutuwakirisha esp kwa kutoka hapa kwetu Tanzania na tumekwisha ona mafanikio ya watu wawili nao ni Mwisho mwapamba na Richard na moja mwana dada kwajina Riatuu kama sijalikosea ambaye ndie alivuruga mazima big brother Africa ya mwaka jana.
Mwaka huu pia twaitaji kumchagua mtu na na hili hufanywa na wahusika wapo na twawajua sana, ila ni pale tu hao wahusika wanapokuja kutuchagulia mtu wa kutuwakirisha huko Big brother Africa kwa mwaka ata faaa au nae takuwa gozi gozi kama wa mwaka jana??
Mie kwa maoni yangu: wafuatao mmoja wao ndio nadhani angepewa kipaumbele
1:ABDULKARIM au Abdul (FROM MAISHA PLUS) kutoka Zanzibar
2:CHARLES (FROM MAISHA PLUS) kutoka Arusha
3:UPENDO (FROM MAISHA PLUS) Kutoka Mwanza
kwani hawa nilio wataja hapo juu kupitia TBC1 wananchii waliweza kuwaona na kuwatambua vyema sasa wahusika wa amue kati ya hao watatu nilio wataja mmoja aende Big brother na nina uhakika atapigiwa kura na watanzania na atashinda.
Huu ndio mtazamo wangu, Je wana JF mwasemaje?
Last edited by a moderator: