Big Brother Africa III

Big Brother Africa III

Tawana and Latoya are the suspects for the eviction... Stay tuned, nitawafahamisha nani katolewa!
Ghosh,

They've been saved, they will be living in a separate room and till next week one of them will be leaving the house.

That's all
 
Whatever maharage ya mbeya ( I loved the description given by the sophisticated learned brother) is displaying ni tabia yake, 100,000$ or not. Mtu huwezi kurupuka tu ukaanza kufanya vitu vya namna hiyo kama siyo tabia yako. What's her background anyways? Women! we can use our brains not just our sexuality to get places!!!!!!!
 
DSTV wameshambuliwa na virus flani hivi... Decorder zinazorota! Anyone to inform them? Ukibonyeza OK, kisha ukabonyeza HouseMates katika Channel 198 basi kimbembe kinafuatia... Remote inasinzia kabisaa hadi u-reboot

Nilidhani ni peke yangu, kumbe kuna mwingine!
 
Wamewekwa kwenye "Rubbish Dump" kwa wiki nzima.. Lakini kwa maoni ninayoyaona na jinsi nchi 10 zilivyompigia kura Latoya atoke, upo uwezekano mkubwa wa kutoka wiki ijayo na Tawana akarudi ndani ya nyumba!

Wiki hii hamna nominations, na naona kama wamejua kuwa BB anawachezea kusema wote wapo up for eviction this week!
 
richard amuonya latoya

MSHINDI wa shindano la Big Brother II mwaka jana, Richard Bezuidenhout, ametoa ushauri wa bure kwa mwakilishi wa Tanzania katika shindano la mwaka huu BBA 3, Latoya Lyakurya, kuwa mwangalifu na kubadili tabia yake endapo anataka kuendelea kukaa katika jumba hilo.

Akizungumza kwenye kipindi cha ‘Jambo Afrika’, kinachorushwa na Televisheni ya TBC 1, juzi, Richard alisema kwamba mshiriki huyo amezidi kuwa mapepe, hivyo apunguze.

“Jambo jingine analolifanya ni kutudhalilisha Watanzania, hivyo aelewe kwamba ukiwa machachari sana, watu huchoshwa na wewe, hivyo wanaweza kukupigia kura za kukutoa kwenye jumba,” alisema Richard.

Latoya ambaye amepigiwa kura za kutolewa kwenye shindano hilo, pamoja na mshiriki mwingine Tayana hatima yao iko mikononi mwa mashabiki wa nchi wanazotoka, hivyo wameombwa wawapigie kura ili kuwanusuru.

“Katika hali isiyo na kificho, hatima ya Latoya kubaki BBA3 iko mikononi mwa Watanzania, hivyo wamnusuru kwa kumpigia kura kwa njia ya ujumbe mfupi,” alisema Richard.

Jumapili iliyopita, Latoya na Tawana walitolewa kwenye jumba hilo na kuweka kwenye shimo la taka, ambako mmoja kati ya wawili hao atatoka na mwingine kurejea jumbani Jumapili ijayo.

Aidha watazamaji wa shindano la BBA 3, linalofanyika Johannesburg, Afrika Kusini juzi walianza kupiga kura ya kuchagua mshiriki atakayerudishwa kwenye jumba hilo kutoka katika shimo la taka, ambako wametenganishwa huku wakishuhudia kila kitu kinachoendelea kwenye jumba hilo.
 
Did i hear shes been evicted .. au umbea .... gooooooooooosh now she has to face the innevitable ...... hope all will understand it was just a game
 
richard amuonya latoya

MSHINDI wa shindano la Big Brother II mwaka jana, Richard Bezuidenhout, ametoa ushauri wa bure kwa mwakilishi wa Tanzania katika shindano la mwaka huu BBA 3, Latoya Lyakurya, kuwa mwangalifu na kubadili tabia yake endapo anataka kuendelea kukaa katika jumba hilo.

Akizungumza kwenye kipindi cha ‘Jambo Afrika’, kinachorushwa na Televisheni ya TBC 1, juzi, Richard alisema kwamba mshiriki huyo amezidi kuwa mapepe, hivyo apunguze.

“Jambo jingine analolifanya ni kutudhalilisha Watanzania, hivyo aelewe kwamba ukiwa machachari sana, watu huchoshwa na wewe, hivyo wanaweza kukupigia kura za kukutoa kwenye jumba,” alisema Richard.

Latoya ambaye amepigiwa kura za kutolewa kwenye shindano hilo, pamoja na mshiriki mwingine Tayana hatima yao iko mikononi mwa mashabiki wa nchi wanazotoka, hivyo wameombwa wawapigie kura ili kuwanusuru.

“Katika hali isiyo na kificho, hatima ya Latoya kubaki BBA3 iko mikononi mwa Watanzania, hivyo wamnusuru kwa kumpigia kura kwa njia ya ujumbe mfupi,” alisema Richard.

Jumapili iliyopita, Latoya na Tawana walitolewa kwenye jumba hilo na kuweka kwenye shimo la taka, ambako mmoja kati ya wawili hao atatoka na mwingine kurejea jumbani Jumapili ijayo.

Aidha watazamaji wa shindano la BBA 3, linalofanyika Johannesburg, Afrika Kusini juzi walianza kupiga kura ya kuchagua mshiriki atakayerudishwa kwenye jumba hilo kutoka katika shimo la taka, ambako wametenganishwa huku wakishuhudia kila kitu kinachoendelea kwenye jumba hilo.

Na yeye Richard alikuwa hatuaibishi??? Au kwa vile alishinda? Hiyo ni double standard, na sexism! Kama Richard alishinda na ngono, saa Latoya naye akiendeleza mkakati uleule kuna lolote Richard anaweza kusema? Anatafuta tu umaarufu wa bure!
 
Nilishtuka....nilijua binti kaya ndio mwakilishi wetu.......hebu tuambie huyo latoya anafananaje fananaje?

Latoya salamu yake ya kwanza ilikuwa KICHAGA, mimi nilitegemea amwage kiswahili kwani hakwenda kuiwakilisha Chagga land. yuko in possible eviction alipigiwa kura 13, mwenzake 3. nadani tanzania safari hii hautafika mbali.


MImi naona washiriki wa safari hii usanii mtupu wanajitahidi kuwaiga waliopita kila dakika kudiscuss mambo ya BB 2, inabore kuangalia.
 
Mshiriki wetu kwenye jumba la big brother, Latoya yupo katika nomination week hii.
...Muacheni arudi nyumbani kama utamu alishaonja humo BB inatosha naona watz tunataka kutoana macho kisa binti anamegwa.....
 
Did i hear shes been evicted .. au umbea .... gooooooooooosh now she has to face the innevitable ...... hope all will understand it was just a game

And to imagine she did all that not for love but for the money and yet she is the first one to go and face the society, ooh, i pity her
 
Latoya akitolewa sijui atalakiwa kama ilivyokuwa kwa Mwisho na Richard?ngoja tusubiri jpili so mbali
 
Nitafurahi sana kama atatolewa katika hayo mashindano mimi naona kama kachelewa kutolewa.

tabia zake hazioneshi kama anaiwakilishi tanzania naona anafanya vituko na kujionesha tu.

lakini jengine mimi naona hata mashindano wala hayana haja ya kuyasupport kwa sababu hayaendani na mila na utamaduni wetu ni uhuni mtupu unaofanyika humo.

na anafanyiwa makusudi kutafutwa watu wa jinsi tofauti wakiwa sawa yaani wanaume sita na wanawake sita na kuwekwa humo lazima wataonesha tabia zao mbovu na ingawa wengine wanajidai kwamba sio rahisi mtu kuweza kuvumilia zaidi ya mwezi mmoja bila ya kufanya sex lakini mimi siamini ni uongo mtupu unaweza sana ukiamua.

na ndio kuna watu humu waume zao au wake zao wanakwenda kusoma na wao wanakaa bila ya kutoka nje wanavumilia kitu chochote ni mind seat tu akili yako ukiielekeza basi na ndio maana ukiiendekeza akili yako katika mambo ya sex hata mkeo akiondoka unaweza ukalala na mfanyakazi wako wa nyumba kwa kisingizio cha kutoweza kustahamili lakini hutaishia hapo kama atakataa utambaka na ukijiendekeza utazowea basi ukikosa huyo utatafuta hata mtoto wa miaka sita au chini ya hapo kama wanavyofanya wengi tu katika ulimwengu huu ambapo baadhi ya binaadamu wenye akili zao wanakenda na wanyama pia . pooo

stonetowner
 
Jamani mambo yanakwendaje Big brother?Latoya kapona au kesho tunamsubiri airport?
 
Few minutes to come tutakuwa na majibu hapa ila kwa kuangalia naona Latoya tutampokea kesho KIA....

Shimboni.....
 
Finaly Latoya is out of the game.....welcome back baby....i will be visiting arusha in 4 weeks time.....its all about game...

Back to secretary work..u have miss work for so many days....
 
Last words from two ladys

Tawana and Latoya both respond that it’s scary being in the position they are currently in – not knowing whether they’re still in or out of the game.

[B]Latoya sayss she wants to go back because she now believes she has to lot to offer Africa now. “I think this is my time to shine”. She promises to be a different person when she goes back.[/B]

Tawana also promises to rock the House when she goes back. “I have so much to do in the House.”

TK then switches to the House where the Housemates are also waiting to hear about their fate because they think they’re all up for eviction. Lucille swears the looming eviction has not affected the mood in the House.

Latoya's finally out 4 real.Thank U Africa
 
Last edited:
Finaly Latoya is out of the game.....welcome back baby....i will be visiting arusha in 4 weeks time.....its all about game...

Back to secretary work..u have miss work for so many days....
Nchi ngapi zimempigia kura?
 
They call it africa...have evicted..Latoya...

Sorry latoya is all ur fault when u where jumping from one guy to another u think it will work like that.
 
Back
Top Bottom