africa6666
JF-Expert Member
- Aug 18, 2008
- 281
- 53
watu wanafanya soon nita.....kuna jamaa kila akimega shori anaacha kufuli anampa jipya.....kabati lake limejaa.....[/QUOTE]
Du hiyo ni kali kuliko zote!!!!!
Du hiyo ni kali kuliko zote!!!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huku ndiko kuanguka kwa maadili yetu. Hakuna yeyote yule anayestahili kumpa uwanja huyu binti kwa kutumia mambo aliyoyafanya alipokuwa BBA III kujipatia umaarufu. Umaarufu kwa lipi hasa? 😕 labda anaweza kupewa ubunge wa kuteuliwa katika chama cha mafisadi.
Nani ana namba yake ya simu anipatie nitest zali,kabla hajawahiwa na akina Armatus
Nimeambiwa unaweza kumpata kupitia namba hii ya shosti yake 0787666650
Vipi UVCCM hawakwenda kumpokea airport?
Wamebanwa tu na mambo ya Tarime, bila ya hivyo wangeshakurupuka na kutoa tamkoNadhani Mkuchika anaandaa maandamano ya kumpongeza Latoya kwa uwakilishi mwanana BB3 kulingana na malezi na makuzi ya sisiem
Nani ana namba yake ya simu anipatie nitest zali,kabla hajawahiwa na akina Armatus
Hivi big brother Africa3 inaendeleaje?shameji Ricco bado yumo ndani ya house?
Wewe naomba namba yake tu ataacha kubrendana.......Habari za redio mbao mjini zinadai Latoya ni msagaji na ana mtu wake walieanza nae kabla hajaenda bigbrother na kule alikua anazuga tu.
FL, thread imedolola, wabongo wamesusa baada ya kuona dadayao kang'olewa... kisa cha mwamba ngoma vile na mazoea ya kushinda bila kubali kushindwa hali tu'washindani... lol
Leo kuna uwezekano mkubwa dada Sheila (from Kenya) akatolewa, let's wait n see...Ndo hapo naona walitegemea Latoya abaki hadi mwisho!Ila mimi napenda kujua imefikia wapo!