Big Match: Man Utd Vs Barca (Live Updates)

Big Match: Man Utd Vs Barca (Live Updates)

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Leo Dunia itasimama kwa dakika 90 kushuhudia mtanange wa aina yake katika ligi ya mabingwa ulaya hatua ya robo fainali kati ya Man Utd Vs Barcelona mechi itakayopigwa katika dimba la Old Trafford.

Karibu kwenye uzi kwa ajili ya ubashiri, maoni na mtazamo kuelekea mtanange wa leo wa kukata na shoka.

Muda wa mechi ukiwadia, nitatupia yote yatakayokuwa yanajiri. Mwanamichezo huu ni uzi wako, karibuni sana!

Utabiri wangu:
Man Utd 1-1 Barcelona
 
Capture1.JPG
 
ukweli lazima usemwe, barca wazito.
tukutane baada ya dk 90, tena tusipoangalia na penalt watapata.

bado hatujawa na timu ya kucompete na timu kama barca,labda msimu ujao
 
baka hii haipokwenye ubora wa kibarcelona km ya guardiola au luis enrique so sitoshangaa leo man u akipata sare
 
ukweli lazima usemwe, barca wazito.
tukutane baada ya dk 90, tena tusipoangalia na penalt watapata.

bado hatujawa na timu ya kucompete na timu kama barca,labda msimu ujao
halafu wewe nini uoni aibu kuwanga mapema kote hii uchawii huo

|ChatBot[emoji880]✓|[emoji769]
 
Back
Top Bottom