Big Match: Simba 0 - 1 Azam, Lamba lamba waondoka na mkia wa mnyama

Nakumbuka maneno ya Haji Manara siku ya jana. Huyu ndiye aliyewaroga.
 
Kuna kitu hakiendi vizuri Simba kwa sasa naona viongozi wameridhika tu na hali hii.Kwa matokeo haya Yanga sasa inapiga indicator kesho kushika uongozi wa ligi.Simba rekebisheni kasoro iliyoonekana kwa muda sasa ubutu wa washambuliaji.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…