Muacheni aisee..msije mkamshawishi aanze kujibu hoja za humu mpaka akapandwa nahasira akavunjwa kiti cha sebuleni kwake///
Asante My AZAM Mji sasa Umetuliaaaa...
Sio SIMBA, sio chui, sio YANGA haa bidhaa yetu inatosha kujigamba haa na hatuna maneno ya kwenye kanga goli juu ya goli yaani bamba to bambaa hahah
Mkuu sembo usijibu neno lolote, ukiamua kujibu ban inakuhusu moja kwa moja maana hutakubali kuvumilia hizi kejeli zetu.Muacheni aisee..msije mkamshawishi aanze kujibu hoja za humu mpaka akapandwa nahasira akavunjwa kiti cha sebuleni kwake///
muacheni kama alivyo//
mkuu yanaga tumepiga nani na ngapiii leo??
kupigwa dole? kama red card poa tu wacha nisaliti hata timu yangu lakini sio kusaliti mwili wangu. usifanye mchezo na thamani ya mwili wa mtu wewe.Kaka we itakua sio mtu wa mpira.... Bora hata ingekua ndondo hicho ulichotaka kitokee kingetokea. Ila unajua kingetokea nini kwa timu yake kama angepewa red card (na ndio lengo la Juma Nyosso)? Pamoja na utukutu wa Rooney au Balotel umeshawahi kusikia wamepigana uwanjani?... Unahisi Boko ndio wakwanza kufanyiwa hicho kitu?
Mkuu sembo usijibu neno lolote, ukiamua kujibu ban inakuhusu moja kwa moja maana hutakubali kuvumilia hizi kejeli zetu.
Poleni sana mikia fc.
Natoa angalizo kwa wakimataifa wenzangu; tucheke kidogo tutulie ligi bado inaendelea.
KIla mtu hapa anajua kuwa nguvu hizo haunazo.......Naona Yanga mnataka kuufanya uzi kama salun ya kike,mnapiga umbea tu,tuwachambue kama karanga?
Hayo MAPANGA si yamezuiliwa na Kamanda Saro? Kwanini Askari hawakumuzuia Boko Kuingia na panga Uwanjani? Ona sasa anataka kumjeruhi Mnyama!makali ya hilo panga tu ni kiashiria tosha leo Taifa tunagawana nyama ya Simba
Mpira umeishaje matokeo jamani
hahahaa sana mkuu,dah nlikuwa sijafahamu kumbe mechi ni kesho ase.Mkuu usiwe na haraka ya uroda...
Kesho wanajangwani watakupatia uroda wa wiki nzima.....utakaa nao kwa muda wa siku 7.
si najua nddio zetu..
hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaKuhusu Yanga usijali Mkuu!
Kama kawaida yetu ....Leo game imeshachezwa...vijana wa Mwadui wanatabasamu muda huu .Kila wakiangalia salio kwenye miamala yao ya MPESA inasomeka:-
"Imethibitishwa umepokia kiasi cha TSH 300,000/= kutoka kwa Yusuf Mahbou Manji. Salio lako jipya la MPESA ni TSH 301,200/=".
wewe kama mshabiki wa Yanga usiwe na hofu yeyote ......Kaa kando na luninga yako kesho saa 10 jioni ,si kushuhudia nani anashinda. Bali Timu yetu Uanga inafunga mabao mangapi!
Umepotelea wapi wewe Mwanayanga damu?Yani wewe
Hunizidi mimi Mkuu.Wazaramo wana msemo wao unasema"Inda a mbigalo hailavaga mwana "maana yake "Tumbo la mwanaume halibebi/halitoi mtoto "..
Ndo kitu ambacho Simba wamekionesha leo...Azam wamenifurahisha leo!
Wana usemi basi?Vipi Nifah wamatopeni wanasemaje?
Tuliwaambia mapema kuwa wachukue kombe lao la mapinduzi hawakutusikiaHunizidi mimi Mkuu.
Nina furaha sana,sana.
Huku Yanga kule Arsenal
What a wonderful day?
Cheers [emoji485]