Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,296
- 18,027
Sembo anasoma post zote. Hawezi kujibu bado anaugulia maumivu. Ataibuka siku za usoni. Yanga akishinda leo ndiyo kabisa!Tuliwatahadharisha mapema na baiskeli yao ya mbao sembo na wenzie wakadhani hatujui tunachokisema sasa sijui yupo eneo gani korofi mpaka asije kutoa tathmini ya mechi .