Big results now


hii serikali wanatufanya walimu kama punda kututwisha mzigo mzito husio bebeka sijui walimu wanatuonaje.
 

kwanza ukiangalia mazingira mabovu ya kufundia vifaa duni,maabara azijitoshelezi sijui serikali inafikiriaje hapo.
 
mbona umeongezewa % kubwa mkuu!!mm nimeongezewa 10% lkn me sio mwalim,so walim mmependelewa!!

Tofauti na kupandishiwa mshahara serikali inabidi watoe motivation lakini sio kwa hili, walitangaza walimu mishahara juu na mategemeo yake yanakuwa tofauti.
 

kweli mkuu.
 
Hivi wakuu kuna kauli moja imetolewa kwa walimu kuhusu big results walimu wanatakiwa kufahulisha wanafunzi katika kiwango cha asilimia 60 % kwa fomu 2 na four 4 kutokana na kupandishiwa mshahara mnaonaje suala hili walimu uwanja wenu tililikeni .
BIG RESULTS NOW with such SMALL SALARY INCREMENT NOW is equal to BIG FAILURE NOW!!!! The CCM Government has failed completely!!!
 
BIG RESULTS NOW with such SMALL SALARY INCREMENT NOW is equal to BIG FAILURE NOW!!!! The CCM Government has failed completely!!!

serikali wanatakiwa waunde kamati kwa kuwachunguza hawa wanaounda sera kama hizi .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…