Bigbrother ni mchezo mtamu sanaaa, ni mchezo wa kutumia akili sanaa, ni mchezo wenye burudani ndani yake na ni mchezo wa kufunza jinsi ya kumsoma mtu kisaikolojia na hata kumhisi huyu mtu anawaza nini.
Naupenda sana mchezo huu naona jinsi nigeria inavyozidi kunawili kujulikana duniani kupitia hili, ningependa siku moja nigeria ifanye uwe wa africa coz south africa imshindwa kuurudisha mchezo huu mkubwa africa je ni kwamba nigeria ndio kweli taifa lenye uchumi mkubwa??!!
Huu mchezo nimefanya utafiti unapendwa africa nzima bila chenga na wivu wanigeria wanaonewa.
Turudishieni bigbrother africa kwakweli coz wanigeria wanajiona sana kama wameteka africa
Naupenda sana mchezo huu naona jinsi nigeria inavyozidi kunawili kujulikana duniani kupitia hili, ningependa siku moja nigeria ifanye uwe wa africa coz south africa imshindwa kuurudisha mchezo huu mkubwa africa je ni kwamba nigeria ndio kweli taifa lenye uchumi mkubwa??!!
Huu mchezo nimefanya utafiti unapendwa africa nzima bila chenga na wivu wanigeria wanaonewa.
Turudishieni bigbrother africa kwakweli coz wanigeria wanajiona sana kama wameteka africa