yule wa kukaba tu bila kupeleka mbele mashambulizi! Anakaba vizuri anapokonya mpira kisha anarudisha nyuma ndiko akili yake iliko!!Angalia Bangala akipokonya mpira anaangalia mbele na kupeleka mpira sio Mzamiru!Mchezaji Ni Mzamiru Tu Kwenye Hii Ligi...Bonge La Midfield [emoji91]
Jamaa Kwa Mpira Anaochezaga Huwa Namuonaga Akili Zake Hazipo Sawa [emoji38], Na Sielewagi Analishawishi Nn Benchi La Ufundi La National Team Mpk Kuwa Anapewa Namba Aisee!
Muulize nabiNaombeni mnijibu wakuu! Maana hapa mabishano ni makali...
Kama unaelewa mpira utampa Mzamiru heshima sana kwa anachokifanya.... Kwa wachezaji wa Tanzania naamini ndio mchezaji pekee anayeweza kufuata maelekezo ya kocha kwa 100%Eti wanamuita kiungo punda! 😁😁 Katika pasi zake 10, basi 5 unakuta katoa boko kwa mpinzani!
SameheAlisha staafu soka, akawa wakala ktk kiwanda cha bia, alitimuliwa kisa wizi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Byuti byuti.
Mkinuna natuma ingne. View attachment 2286673
Wewe ulieujua mpira wakati unavunja ungo umefika wapi?Mayele anacheza namba ngapi na gael namba ngapi?
Au mmeujulia mpira ukubwani?
Na huu ndio ukweli
Ni vile tu hajapenda kwenda kucheza soka nje la nchiMchezaji Ni Mzamiru Tu Kwenye Hii Ligi...Bonge La Midfield [emoji91]
Kiukweli mzamiruJamaa Kwa Mpira Anaochezaga Huwa Namuonaga Akili Zake Hazipo Sawa [emoji38], Na Sielewagi Analishawishi Nn Benchi La Ufundi La National Team Mpk Kuwa Anapewa Namba Aisee!
Ndani NTU nje NTU yaani NTITI NTITII somoAtakavyopambana ndivyo atapata namba.
Timu bora ni yenye kikosi bora mpaka benchi., akitoka NTU anaingia NTU
Bangala atarudi kucheza beki, huku Babu Kaju akiwa anacheza aidha na Aucho au Bigirimana kwenye double pivot
Bora Hata Zawadi Mauya ila Mzamiru Hapana Big No [emoji38][emoji38]
yule wa kukaba tu bila kupeleka mbele mashambulizi! Anakaba vizuri anapokonya mpira kisha anarudisha nyuma ndiko akili yake iliko!!Angalia Bangala akipokonya mpira anaangalia mbele na kupeleka mpira sio Mzamiru!
Taifa Stars ilifungwa na Algeria kwa kiwango chake cha ndondo kapu!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Samehe