Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Timu zetu hazikubali kujifunza.Kama timu za bongo hazijawekeza kwa scouting na madaktari bora ambao watawacheck wachezaji wa bingo kabla ya kusajiliwa,kila siku hawa wageni watakuwa wanapiga hela na wenzetu wapo vizuri kwenye kuandaa mikataba yao.
Najua mnawacheka Yanga ila kuna Okwa nae anataka dola 200000 ndipo avunje mkataba,mistake zile zile Kambole nae anasubiri kuvuta mzigo wake sijui tutajifunza lini.
Wewe ni mbwigaHao wanaongea kiswahili safi ila bigirimana abaongea kiswahili cha kihuni
Hayo ndio mambo ya mkataba linapokuja suala la m1 anataka kuuvunja,ni kama kwa fei tu akae na Yanga ajue Yanga wanataka sh awalipe asepe sio kuvunja kienyeji vile!Yanga ipo tayari kuachana au kumtoa kwa mkopo Gael Bigirimana kutokana na kushindwa kuonyesha kiwango bora kikosini hapo, lakini ugumu unakuja mchezaji mwenyewe hayupo tayari kutoka kwa mkopo na kama kuondoka, basi wavunje mkataba ambao Yanga italazimika kulipa zaidi ya 700 milioni za Kitanzania, hivyo kufanya jambo la kuondoka kuwa gumu na huenda akasalia mitaa ya Jangwani.
My Take
Niliwaambia huku ni kununua bidhaa mitandaoni.
Yule haoni shida kukaa benchi maana mpira wenyewe alishaacha. alikuwa anafanya kazi kwenye mawarehouse huko londonWachezaji kama hawa ni kuwakalisha bench mpaka akili zimrudie.
Kwa uzee wake huo vyovyote iwavyo sawasawaWachezaji kama hawa ni kuwakalisha bench mpaka akili zimrudie.
Ana mikimbio mizuri"Huku ni kununua bidhaa mtandaoni" utopolo wakadhani jina Newcastle ndio litakuja kucheza mpira.
Kwahiyo kibu D unamlinganisha na kambole au makambo ambaye misimu miwili ana goli Moja?Kwani Kibu Denis mliuziwa mtandaoni?