Bigsize Phobia: Hofu ya wanaume wenye maumbile madogo kuwaogopa wanaume wenye size kubwa, ushahidi umeambatanishwa

Bigsize Phobia: Hofu ya wanaume wenye maumbile madogo kuwaogopa wanaume wenye size kubwa, ushahidi umeambatanishwa

sky soldier

JF-Expert Member
Joined
Mar 30, 2020
Posts
5,407
Reaction score
19,264
1642432228823.png

Kiukweli aina hii ya kilema inewafanya wanaume wengi sana kutokua na amani hata wawe matajiri, wanavaa fresh, wacheshi, n.k. yani hakuna kitu wanaogopa kama kushare mwanamke na mtu mwenye umbile kubwa.

Ugonjwa huu naweza kuuita bigsize phobia, mwanaume mwenye umbile dogo anaogopa mwanaume mwenye umbile kubwa kumchapia mwanamke wake, anaona mapungungufu yake yanaweza kumhatarishia mahusiano, mwanamke wake akitanuliwa njia hapo hafui dafu tena.

Ushahidi #1: biashara ya kuuza dawa za kunenepesha na kurefusha uume ina wateja wengi sana, wengine wamejenga na wanalisha familia zao kwa kuuza hiz dawa licha ya kwamba wengi wanaonunua hawaoni matokeo lakini watanunua kwengine..... hebu ingia tu hata youtube uone video za dawa hizi zilivyo na views nyingi, huu n ushahidi wengi hawapeni ndogo zao

Ushahidi #2: nilipokua shulei boarding kulikuwa na bafu la wazi mnaoga wengi, tulishazoea kuoga bila chupi lakini kuna wenzetu wachache walikuwa wanaoga na chupi, wengi wao walikuwa na maumbile madogo maana hata maji yanapofanyachupi ishikane na ngozi, ni kama walikuwa flat.

Ushagidi #3: sehemu za kukojoa hasa katika vyoo vya kuchimba dawa safarini niligundua kwamba wengi wenye ndogo hukimbilia kukojoa kwenye vyoo vile vya kujifungia, kuna wawili nilikuwa nikisoma nao chuo, wakiwa safarini wanaenda vyoo, kuna mgomo uliwahi kutokea walikamatwa, huko polisi mda wa kuoga kwa lazima siri zai tulivujishiwa.
 
Kwani size yauume wamwanaume inatathiminiwa ukiwa erect au ukiwa hata umelala, maana size yamwanaume inapimwaje nikubwa
 
Kwani size yauume wamwanaume inatathiminiwa ukiwa erect au ukiwa hata umelala,maana size yamwanaume inapimwaje nikubwa
Mm nna mwili Mkubwa .. takriban kilo 87 na Sina kitambi, Kuna muda mashine inakuwa kubwa hata ikiwa imelala na Kuna muda mashine inakuwa ndogo ikilala.

Ila ikiinuka Nina wastan mzuri wanawake nawamudu na sjawah mchungulia mtu toi kujilinganisha ..... Mtoa mada ka conclude kirahisi sana , pia tuwe na utaratibu mzur was kuchunguza tabia za miili yetu,...halafu nilijua anazungumzia size ya mwili buana
 
Mm nna mwili Mkubwa .. takriban kilo 87 na Sina kitambi, Kuna muda mashine inakuwa kubwa hata ikiwa imelala na Kuna muda mashine inakuwa ndogo ikilala . Ila ikiinuka Nina wastan mzuri wanawake nawamudu na sjawah mchungulia mtu toi kujilinganisha ..... Mtoa mada ka conclude kirahisi sana , pia tuwe na utaratibu mzur was kuchunguza tabia za miili yetu,...halafu nilijua anazungumzia size ya mwili buana
Hii phobia itawatesa watu wengi snaa kwamaana katika harakati zauchakataji wapapuchi,huwezi kumridhisha kila mwanamke nakuna wanawake wanaokuambia uko vizuri Sana ,kama ilivyokwawacheza soka Tu,huwezi Kua good at every game ,kunasiku utaunderpoform nakuna nyakati utaibuka man of the match!najaribu kutafakari Tu!
 
Kiukweli aina hii ya kilema inewafanya wanaume wengi sana kutokua na amani hata wawe matajiri, wanavaa fresh, wacheshi, n.k. yani hakuna kitu wanaogopa kama kushare mwanamke na mtu mwenye umbile kubwa.
Wanaume wanapooneshana via vyao vya uzazi! Imekaaje hii?!!
 
Back
Top Bottom