Nyumbu
Senior Member
- May 22, 2008
- 141
- 2
Passport yake ina jina la Oscar Rwegasira Mkasa na hata kwenye fomu ya tume amejaza majina yote matatu.
Suala la uraia wa Oscar ni jambo ambalo chadema wamekuta linazungumziwa kila kona ya biharamulo. Katika kura za maoni za ccm, Oscar alisema na ilirekodiwa na kurushwa na Biharamulo Cable TV kwamba yeye amezaliwa wilaya ya Biharamulo. Kijiji alichosema amezaliwa wanakijiji wanakataa na kusema wazazi wake sio watu wa hapo bali ni wahamiaji, tena wa miaka ya karibuni (around late 1980s) wakati Oscar ameshazaliwa. Oscar anaweza kuwa raia wa Tanzania lakini amelikoroga mwenyewe. Utata kwamba amezaliwa wapi ni yeye mwenyewe ameuanzisha kwa kutokuwa makini. Na jinsi alivyojaza fomu (at least iliyokuwa available to the public) kumeibua maswali mengi kuliko majibu.
Barua ya kutupilia mbali pingamizi la chadema ilipitia au ilitengenezwa Chato na siyo Biharamulo mjini kwenye halmashauri na ofisi za mkurugenzi. Kwani watu walioko Chato waliweza kuisoma na kuivujisha kabla haijafika biharamulo. Hapa kuna maswali mengi ya kujiuliza kwanini?
Chadema wameshauriwa na mawakili pamoja na ccm "anti-oscar" wang'ang'anie issue ya kutojaza fomu sawasawa. Kimsingi fomu ni moja na siyo mbili. Mkurugenzi kusema amepokea fomu mblili tofauti anakiri kwamba ama ameshindwa kazi yake kwa kushindwa kuhakiki hizo fomu (kipengele cha tatu hakikujazwa and it was so obvious) au ameshirikiana katika kugushi fomu alizokuwa nazo yeye kwenye ofisi yake.
Suala la uraia wa Oscar ni jambo ambalo chadema wamekuta linazungumziwa kila kona ya biharamulo. Katika kura za maoni za ccm, Oscar alisema na ilirekodiwa na kurushwa na Biharamulo Cable TV kwamba yeye amezaliwa wilaya ya Biharamulo. Kijiji alichosema amezaliwa wanakijiji wanakataa na kusema wazazi wake sio watu wa hapo bali ni wahamiaji, tena wa miaka ya karibuni (around late 1980s) wakati Oscar ameshazaliwa. Oscar anaweza kuwa raia wa Tanzania lakini amelikoroga mwenyewe. Utata kwamba amezaliwa wapi ni yeye mwenyewe ameuanzisha kwa kutokuwa makini. Na jinsi alivyojaza fomu (at least iliyokuwa available to the public) kumeibua maswali mengi kuliko majibu.
Barua ya kutupilia mbali pingamizi la chadema ilipitia au ilitengenezwa Chato na siyo Biharamulo mjini kwenye halmashauri na ofisi za mkurugenzi. Kwani watu walioko Chato waliweza kuisoma na kuivujisha kabla haijafika biharamulo. Hapa kuna maswali mengi ya kujiuliza kwanini?
Chadema wameshauriwa na mawakili pamoja na ccm "anti-oscar" wang'ang'anie issue ya kutojaza fomu sawasawa. Kimsingi fomu ni moja na siyo mbili. Mkurugenzi kusema amepokea fomu mblili tofauti anakiri kwamba ama ameshindwa kazi yake kwa kushindwa kuhakiki hizo fomu (kipengele cha tatu hakikujazwa and it was so obvious) au ameshirikiana katika kugushi fomu alizokuwa nazo yeye kwenye ofisi yake.