William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
Mzee umeanza P.....hivi Arcado Ntagazwa aliwahi kuwa na kesi na uraia wake kama nakumbuka vizuri, alikuwa Mbunge na waziri wa mazingira..lakini uraia wake ulileta utata sijui kesi ilishia wapi.....
- Hata Idd Simba aliwahi kuwa na kesi kama hiyo, and then what? Halafu utasema ninakufanya mbu mbu mbu!
- Kwa hiyo unasema sheria ya Tanzania inasema ukishakuwa na kesi ya uraia basi wewe sio raia? is that so? Sasa anayeongea P.... kati yangu na wewe ni nani hasa hapa? Ntagazwa baada ya kesi aliendelea kua waziri ofisi ya makamu wa rais, sasa what is the point?
FMEs!