Phillemon Mikael
Platinum Member
- Nov 5, 2006
- 10,557
- 8,673
- Mkuu hebu fafanua hapo kidogo, eti Lusinde ni watu wa Congo? Kwa vipi yaani?
Respect.
FMEs!
mkuu achana naye huyu ...hajuwi kuwa kati ya makabila ambayo hata ukirudi nyuma miaka 300 iliyopita ...wagogo wamo[watanganyika halisi bila chembe ya shaka]
niwape mfano mmoja ...
wamasai wapo tanzania,kenya na sasa wanatapakaa..wengi wana ndugu pande zote ....na hata sehemu yao ya kuabudu ipo sanya juu kilimanjaro[hadi wa kenya kina saitoti huja pale kutambika]
wachagga wana asili moja na wameru,wasambaa ,wakikuyu etc
wahaya wana asili na waganda [buganda]
wahangaza [burundi,rwanda etc
wangoni...wanatoka south africa..
wamakonde ..msumbiji..
wakwere....ni mchnganyiko wa makabila yaliyotokana na wafanyabiashara walikuwa wakitoka bara kwa miguu kuja pwani wengine wakalowea..ndio wakawa wakwere,zaramo[etc].........
lets share information..
tatizo sielewi kuwa kwa nini mtanzania wa leo ambaye amezaliwa baada ya uhuru bado akose hati ya kuzaliwa.....