BIKO inapiga goli la mkono, ni mchezo wa kamari na utapeli tupu

BIKO inapiga goli la mkono, ni mchezo wa kamari na utapeli tupu

To prove it if its a hoax or not ni lazima kwanza uucheze mchezo wenyewe ,huwezi ukajudge sna juu juu maan au never know.hata kama ni utapeli watakuwa wanufanya kwa akili kubwa sana.
 
Wana JF kutokana na akili zangu ndogo nimekuwa sana najiuliza huu mchezo jinsi unavyoendeshwa kama maigizo vile,

Kwanza washindi wote huwa lazima simu zao zinapatikana,
Halafu Kwa sababu wanarusha live mtazame kajala Kama huwa anapiga ile simu, kingine kila mshindi huwa sio mshiriki wa mara ya Kwanza Lazima akiulizwa atasema kishacheza mara nyingi, Halafu atasema kuwa alishashinda elfu 50 na laki,
Kama mchezo ni bahati nasibu na inaendeshwa Kwa namba Kwanini hakuna namba mpya hata moja kushinda? Yaani mshiriki wa mara ya Kwanza tu,halafu tazama mtu anaepigiwa Simu itaita mara mbili kapokea, yaani Kama mtu kaambiwa shikilia simu tutakucall,

Jamani mimi bado sijaamini huu mchezo kabisa haujanishawishi, Nina hayo Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Alafu wanaenda,..mkoa,...kwa mkoa..ili ionekane wote wanashinda
 
Unatumaje Hela hujui inachezeshwaje .... Bora U BET unaona Kabisa Man U kashinda Hela hii hapa..

Sent From INFINIX NOTE 3 PRO
 
Wana JF kutokana na akili zangu ndogo nimekuwa sana najiuliza huu mchezo jinsi unavyoendeshwa kama maigizo vile,

Kwanza washindi wote huwa lazima simu zao zinapatikana,
Halafu Kwa sababu wanarusha live mtazame kajala Kama huwa anapiga ile simu, kingine kila mshindi huwa sio mshiriki wa mara ya Kwanza Lazima akiulizwa atasema kishacheza mara nyingi, Halafu atasema kuwa alishashinda elfu 50 na laki,
Kama mchezo ni bahati nasibu na inaendeshwa Kwa namba Kwanini hakuna namba mpya hata moja kushinda? Yaani mshiriki wa mara ya Kwanza tu,halafu tazama mtu anaepigiwa Simu itaita mara mbili kapokea, yaani Kama mtu kaambiwa shikilia simu tutakucall,

Jamani mimi bado sijaamini huu mchezo kabisa haujanishawishi, Nina hayo Tu

Sent using Jamii Forums mobile app
Inwezekana uyasemayo. Ila mimi jana nimeshibda elfu 20 ingawa lengo langu siyo elfu 20 bali hiyo milioni 50.
Hilo la simu za washindi kupatikana hamna hata moja inayopigwa kisha isipatikane nami napata mashaka...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hakuna mchezo wa bahati wa kupigiwa simu ulio na ukweli ndani yake.
Jiulize iliishia wapi Jackpot Bingo ya Monalisa ITV miaka ile.
Walikuwa wanasema inachezwa live, watu wakamkuta Monalisa mwendesha kipindi yupo Sinza huku kipindi kipo hewani na neno kubwa pale pembeni eti ni LIVE (Mubashara ilikuwa bado haipo kipindi hicho)
Mjini kuna njia nyingi za kupata hela ila hizi bahati nasibu za kitanzania za kupigiana simu ni utapeli mwingine.

Waliokuwa mjini watakumbuka hii kitu mpaka Tarimba Abas Tarimba akaingilia kati.
Ukiacha hizi betting za kuotea matokeo, hizo nyingine zote jau. Kila anayeshinda lazima aseme hivi " ndugu zangu chezeni huu mchezo ni kweli kabisa na hakuna udanganyifu".......why waseme hakuna udanganyifu?
 
Alaf washindi wa izo 50m hawajawai toka mkoa mmoja ni lazima atoke mkoa ambao hakuna mtu aliyewahi shinda hapo ndo huwa wananishangaza hawa biko

Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mshikaji wangu yupo MTO wa mbu huko Manyara anafanya tour guard ,week mbili zilizopita nilishangaa ametangazwa channel 10 ameshinda mil 30,na akahojiwa ila kama ni utapeli mbona sometimes ukicheza unaweza kujishindia buku 5 au 10 papo kwa papo
 
Back
Top Bottom