Bikra Na umuhimu wake ktk mahusiano Na ndoa

Niliwahi kumwambia hivi bint mmoja.. Nikamwambie nenda wakakutoe huko.



Ajabu ni kwamba nimekutana na mwingine wiki moja sasa..Huyu nitajitahidi nimtoe.
Tatizo ni akili zao sasa. Yaani demu bikra mm namjua kwa ku-sense akili yake. Wanakua na akili flani hivi za ajabu ajabu.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] kweli mkuu yaani ni shida sana..!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Thamani ya mwanamke siyo Chenza thamani yake ni jinsi yeye alivyo,wengi wameolewa na chenza na ndoa zao wameshindwa kuzitunza,na wengi wameolewa na chungwa na wamedumu ktk ndoa zao
 
cc @ MBITIYAZA
 
Thamani ya mwanamke siyo Chenza thamani yake ni jinsi yeye alivyo,wengi wameolewa na chenza na ndoa zao wameshindwa kuzitunza,na wengi wameolewa na chungwa na wamedumu ktk ndoa zao
Siwezi mwamini mwanamke aliyetobolewa

Delle Alli
 

Ni kweli, unaweza kuacha nyapu kwa usumbufu na karaha.
 

Bado wana utoto utoto mwingi.
 
hahahaa kuoa mwanamke bikra sio guarantee ya wewe kuwa na ndoa imara! rafik angu kaolewa na bikra mwaka 2011 mwaka 2013 kaachana na mumewe haya wapi na wapi ! mtuache jaman
 
mtandao nikomeee! alafu ukitaka kuishi kwa amana zaid mie kwa akili zangu hzi ni bora ukaolewa na mwanaume /mke aliecheza sana na uajna wake... usioe mwanamke ambaye alikua hajafanya starehe baadae atataka kufanya hizo starehe amini hilo ! ni wachache sna wanaoendelea hvyo hvyo! binafs mie ujana ulitumika fresh sana tu starehe na bata amazing sasa hv sijaonaga kipya kwakweli! kila kitu nakiona poa tu....! wknd nipo na wanangu safiiii.... sasa mwanamke hujawah hata kuogelea ukiolewa si utasumbua mtaa wewe jaman! hujawah kwenda club uwiii! maboda boda watakuiba wakupeleke hehehehe,... applies na kwa mwanaume!
 
Nilifurahi kuingia ulimwengu wa kukata viuno. Maana ilikuwa na kutu nimegraduate nimepata mshahara wa serikali ipo! Halafu hainifaidishi chochote. Ila ukata huu bora ingekuwepo ningeiuza kwa King Mswati nkapata mtaji aisee MBITIYAZA
Madam kiuno
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…