Miss Bantu
Senior Member
- Apr 30, 2012
- 153
- 141
Analazimisha umaarufu hapa mjini ndio ninachowezA kusema
Kwa kifupi ni nani huyooo???
huyo kaka anaitwa Seth de giovan. Instagram anajiita bikra wa kisukuma. Anashona nguo kama kadinda..kutwa kujipendekeza kwa mastaa na wenye hela...uso mzito tu kama wa zito kabwe.kwa kifupi hata haeleweki ni nani na wapi alipoibukia. Watu wanadai eti lakini manake mimi aijaona eti sio riziki
hashoni nguo yeye ni dealer anatangaza nguzo za VIKI DESIGN anasaka usupa star kwa nguvu zetu...martin kadinda type,jogoo hapand mtungi
Nimesoma nae iringa,tumaini university faculty moja BBA,huyu ni type zakina madinda...amefukuzwa kazi ofisi kibao..airtel,voda,bankM,lafarge..etc so kwasasa ndo amejiajir kwenye social media ana ka website kaka na kila siku ku post ujinga
Nimesoma nae iringa,tumaini university faculty moja BBA,huyu ni type zakina madinda...amefukuzwa kazi ofisi kibao..airtel,voda,bankM,lafarge..etc so kwasasa ndo amejiajir kwenye social media ana ka website kaka na kila siku ku post ujinga