Bikra_wa_kisukuma

Status
Not open for further replies.
We jamaaa huwa unaaakil basi tu huwa huwez jiposition

- Wala sio kweli ninazo akili nyingi sana ndio maana ninapokutana na wenye akili wanananikubali bila tatizo na we make deals ndio maana sasa hivi nipo bandarini doing what akili mingi is supposed to do, akili ninazo nyingi sana na ninazitumia vizuri sana ndio maana in 3 years tu nilizokaa bongo sio sawa na miaka 30 niliyokaa majuu, kule nilijifunza kuwa na maakili mengi sana ambayo nisingekuwa nayo kama nisingeenda kule!!

Le Mutuz
 
Le Mutuz Leo umeongea points za msingi sana...heshma kwako mkuu ..... yan kijana akifanikiwa tu watu watamzushia ni gay....childish minds

- Hawa wanaozushia wengine lazima wao ndio ma gay ndio maana inakuwa rahisi kuwajua wengine, ndio maana ninasema academically it make a lot of sense ukisema flani ni gay kwa sababu na wewe ni gay huwa mnakutana kwenye ugay, that makes a lot of sense!!

Le Mutuz
 

relax kid !

Uyo jamaaa simjui ndio namwona sasa hivi hapa, kuna tatizo kwa hilo ?

Instagram sina time napo nimewaachia mademu zangu, kuna tatizo kwa hilo?

Nimekuomba umkaribishe baada ya kutuambia ni star wa social media na ilihali jf hatumjui, kuna tatizo kwa hilo?

Makelele yote yametoka wapi hayo?
Au umechukulia personal hahaha !
 

- Yaani mtu kama mimi mwenye akili mingi na timamu nimchukulie serious mtu anayetumia ID ya bandia si nitakuwa nimepungukiwa nakuchukulia kama ulivyo kwenye picha ya profile yako cause inakusema vizuri ni mtu wa aina gani hahahahahahaha

Le Mutuz
 

mwanaume unajiita bikara unategemea watu wakuchuliaje? Na mavazi yake ni yake yakina kadinda yani rangi kibao mara njano,kijan,purple yan unaeza sema rainbow
 

Hahahaaaaa uwiiiiii asante le mutuuuuuz
 
Jamaa ni shoga na anayepiga namjua vizuri anakaa pale makonde karibia na kumbi za sunset haina haja ya kumtaja jina.. Tumuonee wivu kwa kipi hasa?? Kama ni wivu basi tungemzushia Patrick Ngowi ambae hadi fobres wanamjua.. Huyo muuza nyama tumuonee wivu si ni dhambi hiyo..??
 
- Yaani mtu kama mimi mwenye akili mingi na timamu nimchukulie serious mtu anayetumia ID ya bandia si nitakuwa nimepungukiwa nakuchukulia kama ulivyo kwenye picha ya profile yako cause inakusema vizuri ni mtu wa aina gani hahahahahahaha

Le Mutuz

Umesahau kaka le Mutuz,pia ID mtu anayotumia humu inam describe alivyo
All in all leo umetisha kaka,ungekua madame ningekua mmbeba pochi wako ila wewe ni sir so nitakua mbeba wallet yako kuanzia leo!!!
 
- Yaani mtu kama mimi mwenye akili mingi na timamu nimchukulie serious mtu anayetumia ID ya bandia si nitakuwa nimepungukiwa nakuchukulia kama ulivyo kwenye picha ya profile yako cause inakusema vizuri ni mtu wa aina gani hahahahahahaha

Le Mutuz

Mtu mwenye akili timamu hawezi kukimbia watoto wake na kumuachia mkewe amtunzie wewe ni mental case.

Btw hata Field Marshal ni ID bandia.
 
Umesahau kaka le Mutuz,pia ID mtu anayotumia humu inam describe alivyo
All in all leo umetisha kaka,ungekua madame ningekua mmbeba pochi wako ila wewe ni sir so nitakua mbeba wallet yako kuanzia leo!!!

Hacha kushobokea wanaume mitandaoni, kawauzie Meeda mpapa huo. Umu wa kukutaka hakuna.
 
Hacha kushobokea wanaume mitandaoni, kawauzie Meeda mpapa huo. Umu wa kukutaka hakuna.

Wakiitwa wanaume na wewe utatoka???pita hivi usiniharibie usiku wangu pimbi wewe....sio kila mwanamke anajiuza,ulitaka nikusifie wewe na utumbo wako kama ID yako inavyosema???
 
Hacha kushobokea wanaume mitandaoni, kawauzie Meeda mpapa huo. Umu wa kukutaka hakuna.

Mshamba mkubwa,hata kuandika vizuri hujui...eti hacha...rudi kwanza darasa la kwanza kwa mwalimu wako wa irabu ndio uje kushindana na mimi....
 
Wakiitwa wanaume na wewe utatoka???pita hivi usiniharibie usiku wangu pimbi wewe....sio kila mwanamke anajiuza,ulitaka nikusifie wewe na utumbo wako kama ID yako inavyosema???

Tena mimi ndio usinishobokee kabisa, sitoki na wauza papa. Hiki kitabia chako cha kutaka wanaume mitandaoni kitakucost.
 
Mshamba mkubwa,hata kuandika vizuri hujui...eti hacha...rudi kwanza darasa la kwanza kwa mwalimu wako wa irabu ndio uje kushindana na mimi....

Wewe mjanja unayewinda wanaume jf ?
 
Tena mimi ndio usinishobokee kabisa, sitoki na wauza papa. Hiki kitabia chako cha kutaka wanaume mitandaoni kitakucost.

Wewe babu huna kodi nini?inaonekana mafao yako yaliishia huko kwa wauza papa sasa unakuja kuniletea stress zako hapa...jipange ulipe kodi ya mwenye nyumba hapo tandale unakoishi
 
Wewe mjanja unayewinda wanaume jf ?

Acha kujipendekeza kwangu wewe,wanaume kama akina Matola wametulia huko wewe babu bwabwa unashindana na wanawake....
 
Last edited by a moderator:
Acha kujipendekeza kwangu wewe,wanaume kama akina Matola wametulia huko wewe babu bwabwa unashindana na wanawake....

Ona sasa kila mwanaume unamshobokea umuuzie.

Btw mimi sishindani na wewe hapa mimi najitahidi kukupiga kibuti sema unaning'ang'ania ata hautaki kukubali matokeo kuwa sio mnunuzi ........

ok I'm out, biashara njema !
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…