Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna corona nyie semeni ni ntu za dill mnataka kupiga ela za IMF
Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Ukiwaza sana magufuli alikua muuaji .hizi hatua zilipaswa kuchukuliwa mapema sana.
Wimbi latatu tena Covid-19! lakini tusitishike sisi makabwela, uzuri wa CORONA hapa kwetu tz inafyeka kigogo tu na kuwachapa wanyonge.Dar es Salaam. Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH) imesema kuanzia kesho Jumatano Juni 23, 2021 itakuwa ni marufuku kwa mtu yeyote kuingia eneo la hospitali hiyo au kutoa huduma bila kuvaa barakoa na mgonjwa atatakiwa kuwa na msindikizaji mmoja tu.
Taarifa iliyotolewa leo Jumanne Juni 22, 2021 na mkuu wa kitengo cha mawasiliano kwa umma wa MNH, Amaniel Aligaesha inaeleza kuwa hatua hizo zinatokana na maagizo ya waziri wa afya kwa taasisi mbalimbali akizitaka kuchukua tahadhari ili kujikinga na kuwakinga wananchi dhidi ya wimbi la tatu la ugonjwa wa Uviko-19 (Covid-19).
“Tunawaomba wananchi kuunga mkono hatua hizi ili kuongeza tahadhari ya kujikinga dhidi ya ugonjwa huu wa Covid-19. Utekelezaji wa maelekezo haya unaanza rasmi tarehe 23 Juni, 2021 (kesho).”
“Tunawaelekeza wafanyakazi, wanafunzi, ndugu na jamaa wa wagonjwa wote wanaoingia eneo la hospitali kunawa mikono kwa kutumia sabuni na maji tiririka yaliyopo katika maeneo mbalimbali ya hospitali au vipukusi (sanitizer),” amesema.
Mbali na hayo MNH imeelekeza kwa wagonjwa waliolazwa wodini wataruhusiwa kuonwa na ndugu zao watano tu, asubuhi wataruhusiwa ndugu wawili, mchana ndugu mmoja na jioni ndugu wawili.
Ila wewe..dah.Bila shaka ndiyo sababu mabeberu wakaona hata kama sasa hivi ni kiongozi wa malaika, wasiache legacy yake wasiache kuitendea haki hapa duniani:
![]()
John Magufuli - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Ila wewe..dah.
Wameandika cause ni covid...dah...ila kiukweli its very painful
Bila shaka ndiyo sababu mabeberu wakaona hata kama sasa hivi ni kiongozi wa malaika, wasiache legacy yake wasiache kuitendea haki hapa duniani:
![]()
John Magufuli - Wikipedia
en.m.wikipedia.org
Ana mwanaye humu😁Hayo ni mambo ya legacy tu mkuu. Wala usikonde.
Wimbi latatu tena Covid-19! lakini tusitishike sisi makabwela, uzuri wa CORONA hapa kwetu tz inafyeka kigogo tu na kuwachapa wanyonge.
Unafikiri mabeberu wapo wakudanganwa kama sisi, wao taarifa za ukweli wanazipata kwa watu wa karibu wa mhusika tena kwa qarama yoyote ile.Ila wewe..dah.
Wameandika cause ni covid...dah...ila kiukweli its very painful