kavulata
JF-Expert Member
- Aug 2, 2012
- 13,778
- 14,214
Hongera Malinzi na timu yako kuamua kuendelea na mchakato wa kumtangaza mshindi wa ligi, vinginevyo tungekuwa tunasubiri mshidi kutoka FIFA hadi leo.
Simba tangulizeni maslahi ya Taifa kwanza. Mpira wa miguu unachezwa uwanjani sio mezani. Tatizo la Simba ni uongozi sio TFF, FIFA, waamuzi wala wachezaji.
Simba tangulizeni maslahi ya Taifa kwanza. Mpira wa miguu unachezwa uwanjani sio mezani. Tatizo la Simba ni uongozi sio TFF, FIFA, waamuzi wala wachezaji.