Bila Chadema Maisha ya Vijana wa CCM (Machawa)ni ya Tabu mno.

Frank I Ritte

JF-Expert Member
Joined
Apr 12, 2023
Posts
1,003
Reaction score
1,350
Bila Chadema maisha ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (ccm) ni ya tabu mno, Ili Ccm Iwalipe fadhila ama Fedha, au cheo Vijana hawa (machawa) ni lazima wawe na Hoja za kuikejeli na kuitukana Chadema pamoja na Viongozi Wake Waandamizi.
 
Hebu ona....

Mwenyekiti wa milele akalamba mäbilioni ya "kuibadilisha ile gia angani"....

Ilimuudhi Dr.Slaa na akajiindokea [emoji1787][emoji1787]
 
Bila Chadema maisha ya Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (ccm) ni ya tabu mno, Ili Ccm Iwalipe fadhila ama Fedha, au cheo Vijana hawa (machawa) ni lazima wawe na Hoja za kuikejeli na kuitukana Chadema pamoja na Viongozi Wake Waandamizi.
Juu propaganda uchwara za dalali. Chini hali halisi ilivyokua Ngorongoro leo, wananchi wakimsikiliza Lissu. Ruge alisema OGOPA MUNGU na TEKNOLOJIA.!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…