Bila dhuluma wala kukimbiza wafanyabiashara, Rais Samia aweka rekodi ukusanyaji mapato

Wasipotangaza tunasema wanaogopa mapato hakuna na wakitangaza tunasema data za uongo. Daah
Achana na wapuuzi hao wazee wa legacy wanaona wanafunikwa so chuki zimewajaa..

Taarifa za Mama ni qourteely sio monthly
 
Kwa hiyo kutangaza mazuri ya mama wewe unateseka nini? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Ukitaka yasitangazwe au? Jinga kabisa.

Tangaza mabaya basi ufurahi.
 
Hivi kati ya mifano ya data za kupikwa nilizotaja hapo, Kuna data yeyote inayohusika na kipindi Cha mwenda zake?

Au nawewe ndo wale Wana kwaya wa mapambio ya siasa za maji taka.
 
Wivu gani? Amefariki yeye nyie misukule yake si mpo? Kenge wewe lipeni Kodi.
kodi nan kasema halipi we endelea kuwa femenist kwa ujinga wako angalia inflation huko kwani nan angeshindwa kama angeamua kukaba the lowest level income earners

endelea na movement zako za kusapot wanawake wenzio umetuma nn hapo huu mchanganuo hata hujui unaonyesha mafuta tu watu wanakunywa mafuta
 
Kwa hiyo kutangaza mazuri ya mama wewe unateseka nini? ๐Ÿ˜๐Ÿ˜

Ukitaka yasitangazwe au? Jinga kabisa.

Tangaza mabaya basi ufurahi.
huna hyo elimu ya kuchanganua hueleweki kama sigara nyota tuliza kizibo๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Hizo 1.9T kakusanya kutoka wapi, au ni zile misaada alopewa na beberu baada ya kukubali chanjo?. Muda ni hakimu mwema, let's watch and see.
Muda utawaumbua nyie..Mnyapara wenu alipiga bil.600 za msaada na mkopo kwa ajili ya uviko 19,Una habari baba au Kazi yako kuimba pambio tuu?

Mama sio mjinga kama mtu wenu ,She is business oriented..Na kwa taarifa yako mwakani ndio makusanyo yatakuwa mara dufu ..

Unaona hizi miradi hapa? ๐Ÿ‘‡















 
Hivi kati ya mifano ya data za kupikwa nilizotaja hapo, Kuna data yeyote inayohusika na kipindi Cha mwenda zake?

Au nawewe ndo wale Wana kwaya wa mapambio ya siasa za maji taka.
achana nae shoga huyo ana uchungu yale makabila yao yalikuwa yanavujisha mitihani walitakwma kipind cha jiwe na kuchomekana serikalini then kusifia ile mikoa yao ina elimu kumbe wezi wa mitihani na walevi wakubwa sasa analeta shobo na mtu pwani
 
Wakati mnapora mlijua ndio kukuza uchumi? Kitambulicho cha machinga mlikuwa mnawauzia high income earners au? ๐Ÿ˜€๐Ÿ˜€

Hao lowest income earners Kwani wanaenda kukabwa walipe?

Inflation imefanya nini? Any inflation with single digit Haina shida kwenye uchumi na ni nzuri Ili uchumi ukue..

Ulivyo mjinga umekaririshwa kwamba inflation ni mbaya ,pole Sana stagnant prices au inflation ya below 5% ni ishara ya uchumi uliodumaa..

Rudi class hujui kitu,huoni mtaani kwamba kumechangamka?
 
Umeona nimeongelea fuel oil Mimi? Na ni lini fuel oil imepanda Tanzania?

Mimi naongelea mafuta ya kupikia na siyo hizo fuel oil.

Alfu Nani alikudanganya kupanda bei kwa vitu ndo dalili za kukua kiuchumi?

Kati ya Kenya na Tanzania ni nchi ipi iliyo na uchumi wa juu ya mwenzake?

Mbona Kenya bidhaa tuna nunua kwa Bei ya chini kuliko Tanzania?

Hakuna uhusiano wowote kati ya mfumuko wa Bei na kupanda kwa uchumi.
 
huna hyo elimu ya kuchanganua hueleweki kama sigara nyota tuliza kizibo๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
Mtakufa kwa pressure,mama is here till 2030 and beyond..

Endelea kujichekesha Ili ujifariji ila sisi tunachanja mbuga kama hivi ๐Ÿ‘‡



 
toa ujinga wako hapa kamikomoa jiwe kanda nzima mlinyooka๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น๐Ÿ˜น
 
Unabwabwaja tuu ,jibu la mafuta ya kupikia hili hapa chini,badala ya kulia Lia changamkia fursa.๐Ÿ‘‡

 
Twende na Samia Hadi 2045
 
Huku mfumuko wa bei (inflation ) ukiendelea kuwaaadhibu watanzania , nimeangalia september treasury bills za BOT watu wameacha hata kuzinunua sasa maana ni hasara tupu kwa jinsi inflation inavyopiga, yield 3.6 wakati inflation rate 3.8 maana yake unapoteza pesa, hakuna mtu anataka shilingi ya TZ wanunuzi wote na commercial banks wamekimbia, wanachapisha pesa bila uzalishaji wa maana na mikodi kibao, mafuriko ya pesa zisizo na thamani mtaaani yameanza sasa ndio maana wanaonekana wanakusanya sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ