Haukui anamiliki BET AWARDS,NA NDIO MSANII AMECHUJUA TUZO NYINGI ZA NJE HUU MWAKA AU UNAOTA MAPEPO MJINGA MKUBWA YOU.Rayvanny hana ubunifu wowote, hata mistari yake ni ya kitoto mnoo ndio maana muziki wake haukui.
Nyakyusa One!Mimi sio shabiki wa yeyote kati yao, wala sio shabiki wa aina ya mziki wanaofanya. Ila nadhani humfahamu vizuri Rayvanny
Angalia uandishi wa hao wawili utagundua vany boy ni kichwa. Ni kichwa kizuri tuu. Hata management yao inatambua hilo.
Mimi sionagi makali yake, ni wa kawaida, yule lavalava ndio 0Vanny boy ni mwanamuziki wa kawaida Sana na asijaribu kutoka WCB maana ndio utakuwa mwisho wake. Hana maajabu!
Naona anaimba taarabu,wanaume wa dar mnakwama wapi?vanny boy kiboko!
[emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 1282900
Msanii gani kutoka Tanzania yoyote including Simba amewahi kubeba tuzo ya BET aliyonayo Vanny boy?Rayvanny hana ubunifu wowote, hata mistari yake ni ya kitoto mnoo ndio maana muziki wake haukui.
Zako ulizotunga ziko wapi?Ametunga nn bana!!!... hayo maremix!??? Bora hata ungesema ana kasauti lakini kwenye utunzi ni ujinga tu,hana ubunifu
Wanyakyusa hatushindwiMoja ya wasanii bora kabisa Tanzania, Vany boy yumo. (Kama unaujua muziki mzuri)
nilichogundua ni kuwa jamaa ni shabiki mkubwa wa muziki wa kubang, sasa umeona nyimbo zinazo trend za vanny boy sahv ni za soft melody, vinyimbo flan vya kubembeleza na kuliza unaanza kusema sijui hajui muziki... hv pale WCB ukimtoa mbosso nan anamfikia vanny kwa utunzi? hata konde haoni ndani...
we endelea kubang na "gimme dat" km unamkubal katika miondoko hiyo, tuache si na "i love you" zetu, tukitendwa kuna "naogopa" ya kutufariji
vany anajua shida hajui kuutafuta u-star